Mwenyekiti wa ccm jimbo la rorya Mwita kilaru amekamatwa akiwa na meno ya tembo..
hii sasa ni sera ya CCM katibu mkuu ndiyo kinara na kama serikali inataka kukomesha waanze na katibu mkuu wa ccm..
source: Matukio - RFA
Mwenyekiti wa ccm jimbo la rorya Mwita kilaru amekamatwa akiwa na meno ya tembo..
hii sasa ni sera ya CCM katibu mkuu ndiyo kinara na kama serikali inataka kukomesha waanze na katibu mkuu wa ccm..
source: Matukio - RFA
Hivi hizi habari za kuzusha zitaisha lini?kwanza ccm haina cheo cha mwenyekiti wa jimbo bali kuna mwenyekiti wa wilaya,,hata hivyo mwenyekiti wa wilaya ya rorya anaitwa samweli kiboye a.k.a namba tatu!!!