Mwenyekiti wa CCM jimbo la Rorya, Mwita Kilaru amekamatwa akiwa na meno ya Tembo..
Hii sasa ni sera ya CCM Katibu Mkuu ndiyo kinara na kama Serikali inataka kukomesha waanze na katibu Mkuu wa CCM.
source: Matukio - RFA
Ripoti ya CAG yote kuhusu Escrow Tegeta ipo gazeti la Jamhuri la leo tar 25/11/14.
Get your own copy.
Mi nlidhan wameacha baada ya kashfa ya ndege wa rais wa china
Hivi huyo alitumwa na sera za CCM kuiba hayo meno? au ni ubinafsi wake? hayo ndo mambo ya padri kazini lawana kwa ukatoliki, shekhe mwizi lawana kwa uislamu. Jifunze kutofautisha taasisi na mtu binafsi, sio sera ya chama chetu cha mapinduzi kuiba, ingawa wanachama na viongozi wake ni wezi. Ni sawa pia kwa upande wa chadema, sio sera ya chadema kuwa malaya, lakini viongozi na wafuasi wake malaya, mfano mbowe nad slaa, je hapa utalaumu chadema kwa umalaya au watu binafsi?