Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan aongoza kikao cha Kamati Kuu, Ikulu

CM 1774858

JF-Expert Member
May 29, 2021
4,984
4,083
IMG-20220926-WA0137.jpg

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

IMG-20220926-WA0134.jpg

Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

IMG-20220926-WA0132.jpg


Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abdulrahaman KINANA akipitia makabrasha mbalimbali kabla ya kikao cha Kamati kuu Maalum,

IMG-20220926-WA0131.jpg

Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Steven Masato Wassira,

IMG-20220926-WA0128.jpg


Wajumbe wa Kamati kuu wakimkaribisha kwa Wimbo wa Chama Mkt wa Kikao Ukumbini,


#CCM MBELE KWA MBELE
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.
Kikao Cha ciciem ikulu..
Au Basi.
 
Safi Sana kwa chama kiongozi , chama kilichobeba matumaini ya watanzania, chama kilichobeba hatima ya Taifa hili, chama kilicho kimbilio la wanyonge, chama kinachotoa dira na muelekeo wa Taifa hili, chama kinachobadilika kulingana na wakati, chama ambacho kimekuwa sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa wasio na nguvu, chama Cha Hayati baba wa Taifa mwalimu Nyerere,Hakika CCM itaendeleaa kuongoza nchi hii Daima
 
Safi Sana kwa chama kiongozi , chama kilichobeba matumaini ya watanzania, chama kilichobeba hatima ya Taifa hili, chama kilicho kimbilio la wanyonge, chama kinachotoa dira na muelekeo wa Taifa hili, chama kinachobadilika kulingana na wakati, chama ambacho kimekuwa sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa wasio na nguvu, chama Cha Hayati baba wa Taifa mwalimu Nyerere,Hakika CCM itaendeleaa kuongoza nchi hii Daima
Akili za mashoga hizi.
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865View attachment 2368865
Kiukweli kuna vitu lazima tumsaidie Mama yetu, japo hakuna kosa lolote kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kanuni, kuzuia kufanyia vikao cha chama chetu, kwenye ikulu yetu kwasababu CCM ndio chama tawala hivyo ikulu ni yetu, but its morally wrong , hivyo this is crime against morality.

JPM pia alianza hivi hivi, tulipokemea humu akawa msikivu alatusikia akaacha na tukampongeza Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!
P
 
Kiukweli kuna vitu lazima tumsaidie Mama yetu, japo hakuna kosa lolote kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kanuni, kuzuia kufanyia vikao cha chama chetu, kwenye ikulu yetu kwasababu CCM ndio chama tawala hivyo ikulu ni yetu, but its morally wrong , hivyo this is crime against morality.

JPM pia alianza hivi hivi, tulipokemea humu akawa msikivu alatusikia akaacha na tukampongeza Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!
P
Ikulu siyo ya Ccm, hili ndio kosa kubwa lililopo kwenye mindset za maccm.
 
View attachment 2368860
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichokutana Ikulu ya Chamwino, Jijini Dodoma leo Jumatatu tarehe 26 Septemba, 2022.

View attachment 2368861
Rais wa Zanzibar na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dkt Hussein Mwinyi akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti wa ccm-Tanzania visawani Mhe Dkt Ally Mohamed Shein muda mchache kabla ya kikao kuanza,

View attachment 2368865

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Kanali Mstaafu Ndg Abrahaman KINANA akipitia makabrasha kabla ya kikao,

View attachment 2368866
Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM Taifa Ndg Shaka Hamdu Shaka akiteta jambo na Mjumbe Mpya wa Kamati Kuu Ndg Masato Wassira,
Endelea kupiga kazi mama we are so proud of you
 
Kiukweli kuna vitu lazima tumsaidie Mama yetu, japo hakuna kosa lolote kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kanuni, kuzuia kufanyia vikao cha chama chetu, kwenye ikulu yetu kwasababu CCM ndio chama tawala hivyo ikulu ni yetu, but its morally wrong , hivyo this is crime against morality.

JPM pia alianza hivi hivi, tulipokemea humu akawa msikivu alatusikia akaacha na tukampongeza Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!
P
Mhe Mbunge Ikulu ni Ofisi, ya Umma,

Usisahau Kuwa CCM pia ni kipande cha huo Umma,

So, Hakuna shida kabisa
 
Safi Sana kwa chama kiongozi , chama kilichobeba matumaini ya watanzania, chama kilichobeba hatima ya Taifa hili, chama kilicho kimbilio la wanyonge, chama kinachotoa dira na muelekeo wa Taifa hili, chama kinachobadilika kulingana na wakati, chama ambacho kimekuwa sauti kwa wasio na sauti na nguvu kwa wasio na nguvu, chama Cha Hayati baba wa Taifa mwalimu Nyerere,Hakika CCM itaendeleaa kuongoza nchi hii Daima
We ni mpuliza filimbi wa Watawala, yeyote atakayekalia kiti utaandika vile vile iwe CDM au chama kingine.

Ukihakikishiwa TAKRIMA kdg, maneno yanakutoka, usoni Ukiwa na
TABASAMU la MAMBA!!!!😃😃
 
We ni mpuliza filimbi wa Watawala, yeyote atakayekalia kiti utaandika vile vile iwe CDM au chama kingine.

Ukihakikishiwa TAKRIMA kdg, maneno yanakutoka, usoni Ukiwa na
TABASAMU la MAMBA!!!!😃😃
Hivi kwa akili yako unafikiri Kuna chama mbadala wa CCm hapa nchini? Kwa kazi kubwa ya serikali hii ya CCM inayoongozwa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani unazani kuna mwenye ubavu wakuweza kupata kura mbele ya CCM hii? CCM ipo hapa na itaendeleaa kuwepo hapa muda wote maana wananchi wanamatumaini makubwa Sana na chama hiki kilichobeba matumaini ya Watanzania wanyonge
 
Kiukweli kuna vitu lazima tumsaidie Mama yetu, japo hakuna kosa lolote kikatiba, kisheria, kiutaratibu na kanuni, kuzuia kufanyia vikao cha chama chetu, kwenye ikulu yetu kwasababu CCM ndio chama tawala hivyo ikulu ni yetu, but its morally wrong , hivyo this is crime against morality.

JPM pia alianza hivi hivi, tulipokemea humu akawa msikivu alatusikia akaacha na tukampongeza Pongezi Dkt. Magufuli kutenganisha shughuli za Chama na Serikali, Utabarikiwa na Tanzania itabarikiwa!
P
Aliyepita alikuwa anafanyiaga wapi

Ova
 
Hivi kwa akili yako unafikiri Kuna chama mbadala wa CCm hapa nchini? Kwa kazi kubwa ya serikali hii ya CCM inayoongozwa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani unazani kuna mwenye ubavu wakuweza kupata kura mbele ya CCM hii? CCM ipo hapa na itaendeleaa kuwepo hapa muda wote maana wananchi wanamatumaini makubwa Sana na chama hiki kilichobeba matumaini ya Watanzania wanyonge
Ila Wewe mwamba nakuelewaga Sana, keep on moving brother
 
Back
Top Bottom