Wale wote wanaosema umri ni wajinga, by 2015 dr slaa atakuwa na umri wa miaka 67..mmeona wagombea wa zambia sata na banda? they both stand at 74! nakupeni assignment ya kutafuta umri wa kibaki. Hawa wako mbali sana kiumri ukilinganisha na dr slaa. Let me quote Mrema," Kule bungeni hatuendi kubeba zege".. same applies kwa uraisi,kinachomata ni uwezo na moyo wa kutumikia wananchi. Finito
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.