Kwa wiki hizi mbili mfululizo kutokana na matamshi ya viongozi mbalimbali wa CCM nimeweza kugundua kuwa CCM sasa wanajua kabisa kuwa hawana mtu ambaye anaweza kupambana na Dr Slaa iwapo atateuliwa na CDM kuwania tena urais 2015 hata kwa kuchakachua, hii nikutokana na hasira, uelewa wa Watanzania kwa sasa.
Kwa kutambua hilo na kwa kujua kuwa sasa hivi wao sio wamoja na hamna dalili za kuwa wamoja Mwenyekiti wa CCM anapanga mpango wa kumteua mgombea mwanamke hasa Dr AshaRozi Migiro ili kwatumia wanawake waliowengi kuwarubuni wapiga kura.
Hii ni nimeiona kuanzaia wiki hii ambapo watu wa karibu na Mwenekiti huyo (Mama Sofia Simba, Mama Salma Kikwete) wakinenA kuwa sasa ni zamu ya Rais mwanamke, naona mbinu hii nikama ile iliyotumika kumwengua Samweli Sita kuwania Uspika.
Katika hili viongozi wa CCM wako radhi kuungana pale penye hatari ya CCM kupoteza uongozi wa nchi kwa kuwa wanacho ogopa wao sii CCM kushindwa bali yale machafu waliofanya (Kagoda,Meremeta, Rada) kuwekwa wazi na viongozi wa chama kingine ndio maana wako radhi kutumia hata mabomu kuutafuta uongozi.
Kumbuka usemi wa hakuna aliyemsafi ndani ya CCM. Wadau mnasemaje kuhusu mbinu hii mbadala?
Kwa kutambua hilo na kwa kujua kuwa sasa hivi wao sio wamoja na hamna dalili za kuwa wamoja Mwenyekiti wa CCM anapanga mpango wa kumteua mgombea mwanamke hasa Dr AshaRozi Migiro ili kwatumia wanawake waliowengi kuwarubuni wapiga kura.
Hii ni nimeiona kuanzaia wiki hii ambapo watu wa karibu na Mwenekiti huyo (Mama Sofia Simba, Mama Salma Kikwete) wakinenA kuwa sasa ni zamu ya Rais mwanamke, naona mbinu hii nikama ile iliyotumika kumwengua Samweli Sita kuwania Uspika.
Katika hili viongozi wa CCM wako radhi kuungana pale penye hatari ya CCM kupoteza uongozi wa nchi kwa kuwa wanacho ogopa wao sii CCM kushindwa bali yale machafu waliofanya (Kagoda,Meremeta, Rada) kuwekwa wazi na viongozi wa chama kingine ndio maana wako radhi kutumia hata mabomu kuutafuta uongozi.
Kumbuka usemi wa hakuna aliyemsafi ndani ya CCM. Wadau mnasemaje kuhusu mbinu hii mbadala?