FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,018
- 40,686
Wewe aliyekukataza kuchukua tahadhari ni nani? Hadi utake JPM ndio aje akuambie?Heeeee!
Tukadhani angalau leo kupite kimya?
Enyi mlio katika nafasi za kumfahamisha jiwe kubadili uelekeo bora mkafanya hivyo mngali hai.
Itakuwa haina maana sana kufanya hivyo mkiwa mmeshapumzika kwa amani.
Apumzike mwenyekiti huyu.