Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,068
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Mara Samuel Kiboye maarufu kwa jina la Namba tatu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ataongoza nchi hadi mwaka 2030 kwani wananchi wa Kanda ya Ziwa wanampenda na wanamkubali.
Ameyasema hayo mbele ya Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani mwanza. Mwenyekiti huyo amemuhakikishia Rais kuwa wananchi wa kanda ya Ziwa wako pamoja nae na wana muunga mkono sana na hawatokubali mtu yeyote au kikundi chochote kimyumbishe Mh Samia ambaye ni chaguo la Mungu kwa Watanzania.
Ameyasema hayo mbele ya Rais Samia ambaye yuko ziarani mkoani mwanza. Mwenyekiti huyo amemuhakikishia Rais kuwa wananchi wa kanda ya Ziwa wako pamoja nae na wana muunga mkono sana na hawatokubali mtu yeyote au kikundi chochote kimyumbishe Mh Samia ambaye ni chaguo la Mungu kwa Watanzania.