Mwenyekiti wa Bunge chanzo cha kuvuruga amani ndani ya Bunge

Miss Parliament

Senior Member
Jun 27, 2011
107
48
Kama tunataka kuwa na bunge lenye staha,basi kiti cha spika kitumike ipasavyo. Mlioko nje kupitia runinga zenu bila shaka mmeshuhudia vituko vya humu ndani kanuni ya 68(7) iko wazi....
 
Kama tunataka kuwa na bunge lenye staha,
basi kiti cha spika kitumike ipasavyo. Mlioko nje kupitia runinga zenu bila shaka
mmeshuhudia vituko vya humu ndani kanuni ya 68(7) iko wazi....

Tufafanulie hiyo kanuni inasemaje ili tuwe na mjadala mpana zaidi, usifikiri sisi
wote ni wabunge au tunazijua hizo kanuni
 
Akili zake kama za huyu
Jakaya Kikwete (mentally disabled)
Jakaya_Kikwete_with_Obamas_cropped.jpg

Graduating with a degree in economics in 1975, he opted for a low-paying job as an executive functionary/officer of the ruling Party (TANU later CCM). This gave him the opportunity to work at the grassroots in rural regions and districts of Tanzania.

President Kikwete has been blamed for electing his friends to the cabinet, a result of which he has no power to condemn them for their irresponsibility. The example of two consecutive Bomb blasts at Mbagala and Gongo la Mboto arm base respectively in 2009 and 2011 where the Head of army General Mwamunyange as well as the defense minister Mr. Mwinyi were in charge but they insisted that it wasn't their fault for the blast and denied to brief the country about the reason for the blasts. The President himself, kept praising his two official that they are working to secure a country something that raised anger among the victims of Blasts.
Also it has been revealed by Diplomatic officials that Kikwete successfull used his religion (Islam) to cover his weakness to win 2010 election
SOURCE:la dereria 23/5/2011

 
miss P wengine tuna mgao toka jana usiku, hebu tujuze vituko gani vinaendelea humo ndani?
 
The example of two consecutive Bomb blasts at Mbagala and Gongo la Mboto arm base respectively in 2009 and 2011 where the Head of army General Mwamunyange as well as the defense minister Mr. Mwinyi were in charge but they insisted that it wasn't their fault for the blast and denied to brief the country about the reason for the blasts. The President himself, kept praising his two official that they are working to secure a country something that raised anger among the victims of Blasts.

Hapo red; Eti ndiyo anaandaliwa kuwa Rais wa tano wa TZ maajabu haya wajameni

 
Back
Top Bottom