hassan kisabya
Senior Member
- Jun 14, 2014
- 165
- 109
Kesho tar 16/6/2017 kuanzia saa 12:00 (saa kumi na mbili asubuhi) Mfuatilie Gwiji la Siasa nchini,Mw.kiti wa Bodi ya Parole Mhe. Dr. Augustino Lyatonga Mrema atakuwa na kipindi mubashara kwenye TV ya Taifa TBC 1 na baadae kwenye Radio TBC 1, akizungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea hivi sasa kwenye Taifa hili. Tafadhali usikose KUFUATILIA kupata Busara za Mkongwe huyu wa SIASA hapa nchini.