Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,868
- 19,258
IndiGo, Jet Airways, SpiceJet's haya ni mashirika ya serikali?Hebu fanya research ndogo tu halafu utuletee hapa ripoti ya maendeleo ya mashirika hayo. Mfano mzuri ni shirika la Alitalia. Serikali imekuwa ikitafuta mmbiya imekosa na imeamua kuliuza shirika hilo lakini hadi sasa hakuna mnunuzi.
Mashirika mengine makubwa kwa uchache ni kama yafuatayo:
1. South African Airways
2 Kenya Airways
3. Air India
4. Tarom
5. Malaysian Airline
6. Pakistan National Airline
7.Aerolineas Argentina
8. Thai Airways
9.Cayman Airways
10. Alitalia
Mashirika haya ni kwa uchache tu.
Unaweza kunitajia sababu zilizofanya hayo mashirika kusuasua zenye uhusiano wa moja kwa moja kwa ni sababu yanamilikiwa na serikali?