Mwenyekiti wa bodi ya KQ akiri kwamba JKIA ni hovyo sana

Hebu fanya research ndogo tu halafu utuletee hapa ripoti ya maendeleo ya mashirika hayo. Mfano mzuri ni shirika la Alitalia. Serikali imekuwa ikitafuta mmbiya imekosa na imeamua kuliuza shirika hilo lakini hadi sasa hakuna mnunuzi.
Mashirika mengine makubwa kwa uchache ni kama yafuatayo:
1. South African Airways
2 Kenya Airways
3. Air India
4. Tarom
5. Malaysian Airline
6. Pakistan National Airline
7.Aerolineas Argentina
8. Thai Airways
9.Cayman Airways
10. Alitalia
Mashirika haya ni kwa uchache tu.
IndiGo, Jet Airways, SpiceJet's haya ni mashirika ya serikali?

Unaweza kunitajia sababu zilizofanya hayo mashirika kusuasua zenye uhusiano wa moja kwa moja kwa ni sababu yanamilikiwa na serikali?
 

Kabla hata vumbi halijatua vizuri, tulikua tunalinganisha JKIA ambao ni Airport ya zamani ktk suala zima la miundombinu ukilinganisha na JNIA ambao ni mpya na wakisasa zaidi, watendaji wakuu wa KQ wanepigilia msumari wa mwisho kwa kusema kwamba JKIA ni hovyo Sana ukilinganisha ni viwanja vingine vya jirani.

Mtendaji mkuu wa KQ amekiri kwamba KQ haina uwezo hata kidogo wa kupambana na ET, na amesema hata Rwanda Air ni bora na inafanya vizuri kuliko KQ. Haya yote tulikua tunawaambia, ila kwasababu wamesema wazungu, ambao kwa wakenya ni sawa na MUNGU, labda sasa watakubali japo inawauma saba.
Oy video hii mbona imeondolewa YouTube au ni Simu yangu inazingua
 
Oy video hii mbona imeondolewa YouTube au ni Simu yangu inazingua
Nadhani wamepigwa biti wakaambiwa waitoe haraka iwezekanavyo maana sijaona copyright claim yoyote humo ya kusababisha Youtube waifute. 😂😂😂
 
Tambua atcl na serikali ni vitu viwili tofauti, sasa sijui unamaanisha nn serikali kujiingiza, serikali si imewakopesha ndege tu, na washaanza kulipa.
Huelewi hata nilichoandika. Hebu soma vizuri halafu ufanye utafiti kidogo. Achana na mambo ya kijumla, siasa na dhana zisizo na tija kwa jamii.
 
IndiGo, Jet Airways, SpiceJet's haya ni mashirika ya serikali?

Unaweza kunitajia sababu zilizofanya hayo mashirika kusuasua zenye uhusiano wa moja kwa moja kwa ni sababu yanamilikiwa na serikali?
Usitake kulishwa, hebu fanya utafiti kwanza ndiyo tuweze kujadili tukiwa na uelewa sawa kwenye mambo haya.
 
Sikiliza kwa makini, amesema Tanzania imejenga uwanja mpya wa ndege na kufufua shirika lao, au hujasikia?
Kenya Airways is marking its one year anniversary of direct flights to the US where over 105,000 passengers travelled using the airline during the period.alafu unalinganisha Kenya airways na ATCL 🤣🤣🤣....you still have a long way to go kujilinganisha na KQ.
 
Alafu JKIA is not just an international airport it's a regional hub for Aviation msilinganishe JKIA na vitu vya kijinga .
 

Kabla hata vumbi halijatua vizuri, tulikua tunalinganisha JKIA ambao ni Airport ya zamani ktk suala zima la miundombinu ukilinganisha na JNIA ambao ni mpya na wakisasa zaidi, watendaji wakuu wa KQ wanepigilia msumari wa mwisho kwa kusema kwamba JKIA ni hovyo Sana ukilinganisha ni viwanja vingine vya jirani.

Mtendaji mkuu wa KQ amekiri kwamba KQ haina uwezo hata kidogo wa kupambana na ET, na amesema hata Rwanda Air ni bora na inafanya vizuri kuliko KQ. Haya yote tulikua tunawaambia, ila kwasababu wamesema wazungu, ambao kwa wakenya ni sawa na MUNGU, labda sasa watakubali japo inawauma saba.

Hili ni pigo jingine kwa wakenya...
 
Kenya Airways is marking its one year anniversary of direct flights to the US where over 105,000 passengers travelled using the airline during the period.alafu unalinganisha Kenya airways na ATCL ....you still have a long way to go kujilinganisha na KQ.
Hahahaha, CEO na Mwenyekiti wa body wa KQ wanasema KQ na JKIA ni hovyo na zitaendelea kuporomoka kutokana na ujinga wa wakenya na kuendeleza siasa, wewe unayebisha ni nani?. Hata hiyo " route ya New York" ilianzishwa kwasababu za kisiasa, ndio sababu inaendelea kutengeneza hasara. Sikiliza vizuri hayo mazungumzo, acha ushabiki wa kijinga.
 
Alafu JKIA is not just an international airport it's a regional hub for Aviation msilinganishe JKIA na vitu vya kijinga .
That is according to Jubilee sycophants like you, but according to those two guys, CEO and board chairman, JKIA and KQ are lunatic companies, very dubious with no future.
 
Hahahaha, CEO na Mwenyekiti wa body wa KQ wanasema KQ na JKIA ni hovyo na zitaendelea kuporomoka kutokana na ujinga wa wakenya na kuendeleza siasa, wewe unayebisha ni nani?. Hata hiyo " route ya New York" ilianzishwa kwasababu za kisiasa, ndio sababu inaendelea kutengeneza hasara. Sikiliza vizuri hayo mazungumzo, acha ushabiki wa kijinga.
Bwahahaaaa!!alisema wapi km hyo route inatengeneza hasara..wivu mbaya jamani
 
Usitake kulishwa, hebu fanya utafiti kwanza ndiyo tuweze kujadili tukiwa na uelewa sawa kwenye mambo haya.
Hakuna kipya cha kutafiti kwenye hilo, biashara ya ndege ni kama biashara nyingine yoyote, gharama za uendeshaji company zikiwa juu zaidi ya mapato ya company lazima shirika life haijalishi mwenye mtaji ni serikali wala mtu binafsi (tena private ndio litakufa kwa kasi ya mwanga bora la serikali litapewa ruzuku na kusamehewa kodi na ada zingine za kiserikali) kwa hiyo hoja yako bado haina mantiki.
 
Unachanya Mada unazungumzia KQ ama unacompare JKIA na JNIA ??
 
Back
Top Bottom