Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Taarifa zinaeleza kwamba Amesomewa mashitaka mawili ya Uchochezi (Kuchapisha taarifa za uongo na kuzisambaza kwenye mtandao wa Yu Tube ) , huku dhamana ikiwa wazi na amedhaminiwa .
Bila shaka itakuwa moto. 😂Alikuwa Anachochea Nini? Oops
Karibu uraiani Babu, ila vitisho viwe chachu ya kuwaambia ukweli.Taarifa zinaeleza kwamba Amesomewa mashitaka mawili ya Uchochezi , huku dhamana ikiwa wazi na amedhaminiwa .
View attachment 1966802
Bila shaka itakuwa moto. 😂
Aliwapa makavu Jk , Hangaya na SirroAlikuwa Anachochea Nini? Oops
Huyo balaaa. Nilimsikiliza vizuri ni jasiri kweli kwelimzee noma sana huyu.
Kipindi cha hovyo sana hiki. Uko radhi uongelee wengine vibaya ukielezwa upande wako unabaki kutumia nguvu. Poor PTTaarifa zinaeleza kwamba Amesomewa mashitaka mawili ya Uchochezi , huku dhamana ikiwa wazi na amedhaminiwa .
View attachment 1966802
Kwahiyo Wakambambika Hilo La Uchochezi Haraka HarakaAliwapa makavu Jk , Hangaya na Sirro
Ni jambo jema!Taarifa zinaeleza kwamba Amesomewa mashitaka mawili ya Uchochezi , huku dhamana ikiwa wazi na amedhaminiwa .
View attachment 1966802
Hamna kesi hapo!!! Polisi wanajua hilo. Wanatumia mbavu kukanda miza upinzani but there days are numbered..Taarifa zinaeleza kwamba Amesomewa mashitaka mawili ya Uchochezi , huku dhamana ikiwa wazi na amedhaminiwa .
View attachment 1966802
Siku hizi hata ukicheka tu ni uchocheziAlikuwa Anachochea Nini? Oops
Weledi was kitanzania huo😂Kipindi cha hovyo sana hiki. Uko radhi uongelee wengine vibaya ukielezwa upande wako unabaki kutumia nguvu. Poor PT
Ni kosa kubwa kuamini kuwa taasisi fulani zinaweza kuendeshwa na wqtu wenye uwezo mdogo wa akili.Yaani kuhangaika na vizee kama hivi ndio kuchochea maendeleo? Kweli nchi hii bahati mbaya sana, ndio maana leo Nobel Prize imeenda kwa mwandishi nguli wa fasihi kutoka Zanzibar na sio mwanasiasa yoyote hata Nyerere hajawahi kupata Nobel Prize
Baada ya Kuwambiwa watende haki wameufyata.Taarifa zinaeleza kwamba Amesomewa mashitaka mawili ya Uchochezi , huku dhamana ikiwa wazi na amedhaminiwa .
View attachment 1966802
Aliongea ukweli ulio uchi kabisa, ila sasa ndio wamezidisha kufanya kazi za chama,siku hizi hata kuvaa nguo yenye rangi nyekundu na weupe ,unaweza jikuta sero na kuambiwa unakabiliwa na kesi ya kuvuruga amani