othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,667
- 9,049
Wewe huoni mawingu yameanza kutanda mvua itanyenyesha mda sio mrefuMkuu kiti chake kivipi?
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Wewe huoni mawingu yameanza kutanda mvua itanyenyesha mda sio mrefuMkuu kiti chake kivipi?
Kama Mandela alifungwa mimi ni nani nisifungwe?Jaribu kukinukisha uone utakavyogeuka mbwa coco wa jeila kama mwenyekiti wako Mbowe...
Jaribu sasa !!?Kama Mandela alifungwa mimi ni nani nisifungwe?
Mpuuzi wewe nikifungwa atakuwa amefungwa maza ako?Jaribu sasa !!?
kazi kuchezea keyboard tu
Kima ww kazi yako kupiga kelele tu...Mpuuzi wewe nikifungwa atakuwa amefungwa maza ako?
Kwamba Mbowe ndio alimuua Jiwe?
Kesho yetu aijuaye ni M/MUNGU tu....Wewe huoni mawingu yameanza kutanda mvua itanyenyesha mda sio mrefu
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Du,mitambo yakufyatua katiba.Taarifa za uhakika ni kuwa, mwenyekiti wa BAVICHA taifa John Pambalu naye usiku wa leo ameanza safari ya kusafirishwa na jeshi la Polisi kupelekwa Dar kwa ajili ya upekuzi.
Kiongozi huyo pamoja na msaidizi wake wa idara ya uenezi wanatuhumiwa kumiliki mitambo ya kufyatua katiba.
Hujaskia mkuu news zake,,,,,,,,,,,Jiwe kafa kaicha CHADEMA inadunda, huyu nae atafuata mkondo ule ule.
Na ndo raha ya kupokezana kijiti, ni mwendo ule ule mpaka kifo anapokea mwingine.Jiwe kafa kaicha CHADEMA inadunda, huyu nae atafuata mkondo ule ule.
Unamtisha mama ?Mama namuona akifuata nyayo za jpm na her days are numbered.
In short Chadema ni wababaishaji na wahuni kabisa. Tusingefika huku kama wangekuwa smart. Mama alianza kuweka kila kitu sawa ila inaonyesha kuna watu ni wanufaika na hizi sinema za politics . Wanawake hawapendi kuona unawadharau.Polisi wajanja sana, hawa watu hawana makosa yoyote wanachofanya ni kuwavuruga wasahau malengo yao ya kupigania Katiba Mpya, Chadema waje na plan A+ kukabiliana na hali hii badala ya kuendelea kushangaa huu usanii wa polisi.
Eti nchi unaenda kuchagua, njaa zingine bwana😁😁😁Nchi inaenda kuchafuka sasa