Mwenyekiti wa BAVICHA taifa John Pambalu naye aanza safari na jeshi la polisi kutoka Mwanza kwenda Dar usiku wa leo kwa ajili ya upekuzi

Kwa hiyo landcruiser inachoma diesel inayolipiwa na Haya maumivu ya Kodi ya miamala Kutoka Mwanza to Dar kwa mambo ya kipuuzi hivi kweli
 
Taarifa za uhakika ni kuwa, mwenyekiti wa BAVICHA taifa John Pambalu naye usiku wa leo ameanza safari ya kusafirishwa na jeshi la Polisi kupelekwa Dar kwa ajili ya upekuzi.

Kiongozi huyo pamoja na msaidizi wake wa idara ya uenezi wanatuhumiwa kumiliki mitambo ya kufyatua katiba.
Du,mitambo yakufyatua katiba.
Imeshafyatuliwa?
 
Inaonyesha mama amepuga kwenye MSHONO .
Kuna mtu anaenda kupoteza mwingine nguvu za KIUME tutaona kama hajanenepa makalio
 
Bongo imejaa watu wasio na akili kabisa,Tena serikalini ndio wamejaa sasa polisi wanaona sifa na jambo la ubunifu sana,kumsafirisha mtu kutoka Mwanza mpaka Dar Tena kwa gari!,mnateseka weee usiku kucha mnatembea,yanaona kama ni jambo la ubunifu sana,kipi kinaongezeka,kwa nini asihojiwe Mwanza,?
 
Polisi wajanja sana, hawa watu hawana makosa yoyote wanachofanya ni kuwavuruga wasahau malengo yao ya kupigania Katiba Mpya, Chadema waje na plan A+ kukabiliana na hali hii badala ya kuendelea kushangaa huu usanii wa polisi.
In short Chadema ni wababaishaji na wahuni kabisa. Tusingefika huku kama wangekuwa smart. Mama alianza kuweka kila kitu sawa ila inaonyesha kuna watu ni wanufaika na hizi sinema za politics . Wanawake hawapendi kuona unawadharau.
 
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
 
Ndio maana njagu wakifaga halaiki ya wengi inashangilia, halafu wanalalama uzalendo na upendo hakuna
 
Back
Top Bottom