FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 7,627
- 9,320
Sijaona ujanja hapoPolisi wajanja sana, hawa watu hawana makosa yoyote wanachofanya ni kuwavuruga wasahau malengo yao ya kupigania Katiba Mpya, Chadema waje na plan A+ kukabiliana na hali hii badala ya kuendelea kushangaa huu usanii wa polisi.