Mwenyekiti wa BAVICHA taifa John Pambalu naye aanza safari na jeshi la polisi kutoka Mwanza kwenda Dar usiku wa leo kwa ajili ya upekuzi

Polisi wajanja sana, hawa watu hawana makosa yoyote wanachofanya ni kuwavuruga wasahau malengo yao ya kupigania Katiba Mpya, Chadema waje na plan A+ kukabiliana na hali hii badala ya kuendelea kushangaa huu usanii wa polisi.
Sijaona ujanja hapo
 
Swali fikirishi!

Je Polisi wanafanya kazi ya Siasa au kulinda amani na mali ya watu.?

Kitendo cha kuwachukua watu wakiwa wamelala usiku wa manage kabla ya tukio. Je kulikuwa na uvunjifu wowote wa hali ya amani?

Kuwasafirisha watu Mwanza Dar Mwanza ni utopolo wa aina gani huu wakati mitandao watu wanafanya zoom na hata Rais SSH majuzi aliongeleshana na mkuu wa WHO kuomba msaada na kila kitu kilienda.

Polisi wetu mnaonyesha udhaifu wa hali ya juu mno kama hamkwenda shule vile.!!!
Kwahiyo ulitaka wapekue huko kwenye ZOOM au? Tukiwaambia nyinyi ni nyumbu mnabisha ona sasa utopolo ulioandika hapa!
 
Swali fikirishi!

Je Polisi wanafanya kazi ya Siasa au kulinda amani na mali ya watu.?

Kitendo cha kuwachukua watu wakiwa wamelala usiku wa manage kabla ya tukio. Je kulikuwa na uvunjifu wowote wa hali ya amani?

Kuwasafirisha watu Mwanza Dar Mwanza ni utopolo wa aina gani huu wakati mitandao watu wanafanya zoom na hata Rais SSH majuzi aliongeleshana na mkuu wa WHO kuomba msaada na kila kitu kilienda.

Polisi wetu mnaonyesha udhaifu wa hali ya juu mno kama hamkwenda shule vile.!!!
Je ushahidi unasemaje
 
Back
Top Bottom