EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Akiongea na waandishi wa habari jana Heche ametoa tahadhari kwa polisi na wakuu wa mkoa na mkuu wa wilaya ya Igunga kuwa wasiwe chanzo cha kusababisha fujo nchini waviache vyama vya siasa vishindane kwa haki lakini wakiingilia kugeuza matokeo safari hii vijana wa Chadema hawatakubali. Ameongeza kama polisi hawatenda haki na kuendelea kutotoa ushirikiano watawashughulikia waharifu wakiwemo viongozi kama walivyomshughulikia mkuu wa wilaya jana.
Msikilize mwenyewe hapa anaonekana kama Julius Malema wa Tanzania
Msikilize mwenyewe hapa anaonekana kama Julius Malema wa Tanzania
Last edited by a moderator: