LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Nchi yetu inahitaji marekebisho makubwa Sana kimfumo...
Hapa anatakiwa mwehu kama Col. Doumbouya hakuna namna! Hawa vijana sijui kwa nini wanashindwa kuitumia hii fursa?Nchi yetu inahitaji marekebisho makubwa Sana kimfumo...
Kwa haya Ni heri tusingedai Uhuru, kwa nn tutese watu wetu? Kisa unatofautiana nao mawazo?kuna watu au SYSTEM NI ZAID YA RAIS WA NCHI
Why lissu hataki kurud ikiwa aliyekuwa adui yake JPM hayupo?
Why ROMA katelekeza familia ikiwa mliyesema anateka hayupo?
kuna mamlaka zaid ya raisi
NI HERI UPOTEZWE MTU MMOJA KWA MANUFAA YA WATZ MILLion 50
MUULIZE DR.ULIMBOKA ENZ ZA JK......HATA JK ALISHTUKIA MTU YUPO MUHIMBILI
system ilishafanya yake
Bila hawa ccm itakufaIna maana wasiojulikana wamerudi tena
Kundi LA intarahamwe toka Burundi na Rwanda wengi walikimbilia Tanzania na kutafuta usalama wao kwa kujiunga na sisiemu na dola lake.Kwa haya Ni heri tusingedai Uhuru, kwa nn tutese watu wetu? Kisa unatofautiana nao mawazo?
Kasema mengi! Wewe ulisikia hilo tu!Ina maana kosa lake ni kusema tu kuwa IGP Sirroooo, ndiye gaidi no 1 nchini??
Kwani kusema ukweli mchungu, kumekuwa kosa kubwa, Hadi atekwe??😁
Butiku,wasira na maangula ni vibaja eeeh ,vijana wa lumumba bwanaAmeyataka mwenyewe mzee mzima ndio anashobokea siasa
USSR