Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Ndg Kheri Denis James (MCC) ametembelea kituo Cha Habari Efm na Etv katika Ofisi zake zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam
Akiwa katika ziara hiyo ameahidi kuendeleza ushirikiano na vyombo vya habari pamoja na kupongeza wadau wa Habari kwa kuwa Msaada Mkubwa wa kuwasemea Wananchi.
[HASHTAG]#TukutaneKazini[/HASHTAG]
Akiwa katika ziara hiyo ameahidi kuendeleza ushirikiano na vyombo vya habari pamoja na kupongeza wadau wa Habari kwa kuwa Msaada Mkubwa wa kuwasemea Wananchi.
[HASHTAG]#TukutaneKazini[/HASHTAG]