hii kauli haijatuumiza kabisa , aendelee tu na mambo yake
Mtu kama huyu baadae unamkabidhi uongozi nyeti kwa Taifa hili alafu ukarajia ataamashisha wananchi kuleta umoja/muungano na maendeleohii kauli haijatuumiza kabisa , aendelee tu na mambo yake
"Nachukua nafasi hii kuwaomba Radhi Watanzania Wenzangu wote walio kerwa na ujumbe huo,na ninawashukuru viongozi wote wa kisiasa na kiraia walio nikosoa na kunikemea kwa maslahi mapana ya Taifa letu,ninawashukuru sana" Kheri James Mwenyekiti UVCCM Taifa
View attachment 822683
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James ametengua kauli yake inayosema ‘CCM ndiyo inayoamua maendeleo yaje au yasije na hakuna mwananchi anayeweza kuchukua hatua yoyote dhidi ya chama hicho’.
Akimnadi mgombea wa udiwani Kata ya Bagara, mkoani Manyara, Nicodemus Tlaghasi James alisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwenye maeneo yanayoongozwa na upinzani.
James alitoa kauli hiyo wiki iliyopita katika mtaa wa Mpya wilayani Babati akisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwa wananchi waliochagua viongozi wa upinzani badala ya CCM.
Akizungumza leo Julai 30, 2018 na Mwananchi James amesema amefikia uamuzi huo baada ya kupokea simu za kumkemea na kumuonya juu ya kauli hiyo.
“Anayepokea sentensi hiyo, hawezi kujua mwanzo ulisema nini na mwisho ulisema nini, nimeamua kufanya kitu cha kiungwana kwamba ilimradi kilichopokelewa kwenye jamii ni kibaya, tumeamua kuomba radhi bila kujali mwanzoni na mwisho nilisema nini,” amesema James.
Chanzo: Mwananchi
Huyo kijana hajitambui na inaonyesha amelewa madaraka lkn mpangaji ni mungu
"Nachukua nafasi hii kuwaomba Radhi Watanzania Wenzangu wote walio kerwa na ujumbe huo,na ninawashukuru viongozi wote wa kisiasa na kiraia walio nikosoa na kunikemea kwa maslahi mapana ya Taifa letu,ninawashukuru sana" Kheri James Mwenyekiti UVCCM Taifa
View attachment 822683
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James ametengua kauli yake inayosema ‘CCM ndiyo inayoamua maendeleo yaje au yasije na hakuna mwananchi anayeweza kuchukua hatua yoyote dhidi ya chama hicho’.
Akimnadi mgombea wa udiwani Kata ya Bagara, mkoani Manyara, Nicodemus Tlaghasi James alisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwenye maeneo yanayoongozwa na upinzani.
James alitoa kauli hiyo wiki iliyopita katika mtaa wa Mpya wilayani Babati akisema CCM haiwezi kupeleka maendeleo kwa wananchi waliochagua viongozi wa upinzani badala ya CCM.
Akizungumza leo Julai 30, 2018 na Mwananchi James amesema amefikia uamuzi huo baada ya kupokea simu za kumkemea na kumuonya juu ya kauli hiyo.
“Anayepokea sentensi hiyo, hawezi kujua mwanzo ulisema nini na mwisho ulisema nini, nimeamua kufanya kitu cha kiungwana kwamba ilimradi kilichopokelewa kwenye jamii ni kibaya, tumeamua kuomba radhi bila kujali mwanzoni na mwisho nilisema nini,” amesema James.
Chanzo: Mwananchi
Mtu kama huyu baadae unamkabidhi uongozi nyeti kwa Taifa hili alafu ukarajia ataamashisha wananchi kuleta umoja/muungano na maendeleo
Only in Tz
Kuna aliyemtuma, Huyo ndo tatizo, huenda hatafurahi dogo kuomba msamaha.Edward N Lowasa(rtd PM) alivyokutana na Rais wa URT aliusia viongozi kuchunga kauli zao kwani amani ya nchi hii ni muhimu kuliko chochote kile, na kuna watanzania walipambana mpaka hapa tulipo day and night, wengine wametangulia mbele ya haki na wengine bado wako hai, sifa ya kiongozi ni unyenyekevu kwa wale anaowaongoza, kiongozi akianza kutoa lugha ya kejeli , dharau na iliyojaa kiburi si ishara njema, nawashukuru hao viongozi waliomfahamisha kuwa kwa maneno yale alikuwa amekengeuka si lugha ya kuombea kura hata kidogo, na si kura tu ila si lugha inayotakiwa kutoka kwa kiongozi anaeamini katika utawala wa sheria na uongozi wa kidemokrasia, safari bado ni ndefu, M/Mungu awajaalie viongozi wetu wawe na lugha ya kistaarabu na kiasi katika shughuli zao , every word to them gonna ferry or bury them, they have to put their brain engaged before putting their mouth into gear , merci beaucoup!