Mkya
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 667
- 94
MWENYEKITI wa Uvccm wilaya ya Arusha mjini ndugu Martini MUNISI amemtaka mkuu wa wilaya ya Hai kuwawajibisha haraka sana viongozi waliyo uza chakula cha njaa wakiongozwa na MWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya ya Hai pamoja na madiwani wenzake wa CHADEMA haikubaliki hata kidogo serikali ya CCM ifanye juhudi kubwa kuwapa wananchi wake chakula viongozi wa CHADEMA wajekukiuza
Ingekuwa ni wanaccm wamefanya unyama wanamnahiyo mbowe asingedhubutu kunyamaza kule bungeni angekodi Elkopta kujakuzunguka kote kuelezea
Mm binafsi ninaimani kubwa na mkuu wa wilaya namwomba ashughulikie hilisuala Mara moja nawahusika wachukuliwe hatua Kali za kisheria
Hii ni ndani ya kikao cha kijiji cha Shari baada ya MUNISI kuruhusiwa kusalimia yeye na watoa mada wa shirika waliyokuja kuongea na wakazi wa Shari juu ya ujasiria Mali
Ingekuwa ni wanaccm wamefanya unyama wanamnahiyo mbowe asingedhubutu kunyamaza kule bungeni angekodi Elkopta kujakuzunguka kote kuelezea
Mm binafsi ninaimani kubwa na mkuu wa wilaya namwomba ashughulikie hilisuala Mara moja nawahusika wachukuliwe hatua Kali za kisheria
Hii ni ndani ya kikao cha kijiji cha Shari baada ya MUNISI kuruhusiwa kusalimia yeye na watoa mada wa shirika waliyokuja kuongea na wakazi wa Shari juu ya ujasiria Mali