Death of orphan
Member
- Aug 18, 2012
- 17
- 2
Kwa habari kutoka kwa badhi ya Maraisi wa vyuo viku inasemekana mwenyekiti wa Umoja wa Wanafunzi vyuo vikuu anagombea ujumbe wa NEC-CCM ambapo katikati ya wiki hii aliwakutanisha baadhi ya maraisi wa vyuo vikuu katika ofisi ya TAKUKURU na viongozi baadhi wa CCM. Right ingekuwa anagombea CDM au chama kinginu ungezuka mtafaruku mkubwa sana.