nsimba
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 782
- 55
kama kiongozi wa nchi anatakiwa kukemea tabia zozote zinazoweza pelekea uvunjifu wa amani.
uchaguzi umeisha na sasa tujenge nchi.
unaumwa!!!
kama kiongozi wa nchi anatakiwa kukemea tabia zozote zinazoweza pelekea uvunjifu wa amani.
uchaguzi umeisha na sasa tujenge nchi.
vyama vya siasa vinapotaka peleka nchi pabaya nadhani rais ana mamlaka ya kukemea hali hii.
asipo fanya hivyo tunarudi kwenye state of nature