Uchaguzi 2020 Mwenyekiti Mbowe na katibu wake Mnyika huchelewa sana kupaza sauti pale CCM na Dola zinapofanya figisu dhidi ya wagombea wa CHADEMA

Msulibasi

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
5,836
7,492
Mwenyekiti Mbowe na katibu wake Mnyika huchelewa sana kupaza sauti pale CCM na Dola zinapofanya figisu dhidi ya wagombea wa CHADEMA. Kuchelewa kuingilia Kati kunawafanya wafuasi wa CHADEMA kuchukua hatua kiholela na kujiingiza kwenye mtego wa Dola.

Zile press conference za Corona zilipaswa kufanyika katika masakata haya. Inawezekana mwenyekiti yupo Hai akipigania Ubunge huu ni udhaifu mkubwa. Bora Mnyika kajitambua.

Ubunge wa Mbowe utasababisha kukosekana viti zaidi ya 20 vya ubunge na mamia ya viti vya udiwani. CHADEMA ni Chama kikubwa, Mbowe alipaswa kusimamia kwa karibu zoezi la uchaguzi badala ya kutamani ubunge.
 
Mwenyekiti Mbowe na katibu wake Mnyika huchelewa sana kupaza sauti pale CCM na Dola zinapofanya figisu dhidi ya wagombea wa CHADEMA. Kuchelewa kuingilia Kati kunawafanya wafuasi wa CHADEMA kuchukua hatua kiholela na kujiingiza kwenye mtego wa Dola...
Sasa bila ubunge atawasimamia vp Viti Maalum kwa ukaribu. Nafasi ya KUB amuachie nani?
 
Dawa ni kuibadilisha chadema itoke kwenye uanaharakati na kwenda kwenye utaasisi, bila hivyo chama kitaendelea kukosa mwenyewe kama ilivyo sasa.
 
Hana lolote la kushauri,mnafiki tu.
Angeshauri jiwe aache siasa za Roho mbaya haya yote yasingetokea.
Uchaguzi huru na wa Haki ndio dawa ya haya uovu wote.
Niliandika kushauri Mbowe asigombee nikaona wamereply kwa kuweka picha za utupu Kisha modes wakaiondoa thread .Haya ya Tunduma yalianza mapema Sana hayakupigiwa kelele ya kutosha.

Nawashauri viongozi wakuu was vyama wafike tume ya uchaguzi haraka kutoa malalamiko yao juu ya mwenendo was uchaguzi. Pale panaporekebishika parekebishwe.

Jaji Kaijage anapaswa kuhakikisha walioporwa fomu wanapewa fomu nyingine na Kama Kuna waliopewa feki au risiti feki atolee ufafanuzi. Kuendelea kupambana na wakurugwnzi haisaidii. Wamtafute Kaijage haraka. Naona uzembe mkubwa wa viongozi.

Hizi fomu za udiwani hazitoki mbinguni Kama mtu kaumizwa na kaporwa apewe nyingine. Kama mtu amepewa kesi isiyo dhamana Basi ili isionekane Ina malwngo ya kiuchaguzi arudishe fomu ndio ashikiliwe vinginevyo ukamataji utakua na Nia ya kunyima wananchi fursa ya kuxhagua na uc haguzi kukosa sifa ya Uhuru na haki.

Vyama visishani kutweet kunasaidia. Waovu wakifanikiwa Haya ya awali mengi yatakuja kutokea.
 
Kanuni inawataka warudishe leo na sio vinginevyo! Kurudisha siku yeyote ndio tatizo, unadhani fomu zinarudishwa siku unayojisikia? Kuna ratiba mkuu inatolewa na Tume, au Kigogo ameku mislead
Kwanini hadi leo hamjarudisha fomu? Hivi mnataka CCM iwape uwanja sawa enhe? Nyie ni sikio la kufa yaani .... acheni wawafunze siasa halisi za kipinzani huku Africa ....tunasubiri tweet zenu za malalamiko kamakawa ...
 
Mwenyekiti Mbowe na katibu wake Mnyika huchelewa sana kupaza sauti pale CCM na Dola zinapofanya figisu dhidi ya wagombea wa CHADEMA. Kuchelewa kuingilia Kati kunawafanya wafuasi wa CHADEMA kuchukua hatua kiholela na kujiingiza kwenye mtego wa Dola.

Zile press conference za Corona zilipaswa kufanyika katika masakata haya. Inawezekana mwenyekiti yupo Hai akipigania Ubunge huu ni udhaifu mkubwa. Bora Mnyika kajitambua.

Ubunge wa Mbowe utasababisha kukosekana viti zaidi ya 20 vya ubunge na mamia ya viti vya udiwani. CHADEMA ni Chama kikubwa, Mbowe alipaswa kusimamia kwa karibu zoezi la uchaguzi badala ya kutamani ubunge.
Anachokifanya Mbowe kwa jinsi ulivyooelezea ni faida kwenu wanaccm, kwa mantiki hiyo ulitakiwa ufurahie. Cha ajabu unasikitika.
 
Anachokifanya Mbowe kwa jinsi ulivyooelezea ni faida kwenu wanaccm, kwa mantiki hiyo ulitakiwa ufurahie. Cha ajabu unasikitika.
Usipofushwe na hizi harakati za uchaguzi, kuna Tanzania baada ya purukushani hizi.

Mleta mada ameangalia mbali zaidi..upinzani bora na imara ndio mwalimu mzuri kwa chama kilichoshika dola.

Bila upinzani imara hakuna maendeleo ya kweli.
 
Usipofushwe na hizi harakati za uchaguzi, kuna Tanzania baada ya purukushani hizi.

Mleta mada ameangalia mbali zaidi..upinzani bora na imara ndio mwalimu mzuri kwa chama kilichoshika dola.

Bila upinzani imara hakuna maendeleo ya kweli.
Umepata mlo wowote asubuhi hii ?
 
Mwenyekiti Mbowe na katibu wake Mnyika huchelewa sana kupaza sauti pale CCM na Dola zinapofanya figisu dhidi ya wagombea wa CHADEMA. Kuchelewa kuingilia Kati kunawafanya wafuasi wa CHADEMA kuchukua hatua kiholela na kujiingiza kwenye mtego wa Dola.

Zile press conference za Corona zilipaswa kufanyika katika masakata haya. Inawezekana mwenyekiti yupo Hai akipigania Ubunge huu ni udhaifu mkubwa. Bora Mnyika kajitambua.

Ubunge wa Mbowe utasababisha kukosekana viti zaidi ya 20 vya ubunge na mamia ya viti vya udiwani. CHADEMA ni Chama kikubwa, Mbowe alipaswa kusimamia kwa karibu zoezi la uchaguzi badala ya kutamani ubunge.
Mkuu isikupe shida, mbowe ni afisa 'Kipenyo'
 
Usipofushwe na hizi harakati za uchaguzi, kuna Tanzania baada ya purukushani hizi.

Mleta mada ameangalia mbali zaidi..upinzani bora na imara ndio mwalimu mzuri kwa chama kilichoshika dola.

Bila upinzani imara hakuna maendeleo ya kweli.
Mkuu,hayo ya upinzani imara ndio kichocheo cha maendeleo unayajua wewe. Mwenyekiti wa CCM na wana CCM hawataki upinzani kabisa. Wao demokrasia na upinzani kwao si uzalendo.
 
Mwenyekiti wenu wa chama siyo mgombea?
Mwenyekiti Mbowe na katibu wake Mnyika huchelewa sana kupaza sauti pale CCM na Dola zinapofanya figisu dhidi ya wagombea wa CHADEMA. Kuchelewa kuingilia Kati kunawafanya wafuasi wa CHADEMA kuchukua hatua kiholela na kujiingiza kwenye mtego wa Dola.

Zile press conference za Corona zilipaswa kufanyika katika masakata haya. Inawezekana mwenyekiti yupo Hai akipigania Ubunge huu ni udhaifu mkubwa. Bora Mnyika kajitambua.

Ubunge wa Mbowe utasababisha kukosekana viti zaidi ya 20 vya ubunge na mamia ya viti vya udiwani. CHADEMA ni Chama kikubwa, Mbowe alipaswa kusimamia kwa karibu zoezi la uchaguzi badala ya kutamani ubunge.
 
Shida ni ubinafsi na hawajiamini, ukitaka kujua kwamba chadema hawajiamini angalia swala la kujenga Ofisi ya kudumu, mpaka leo hawana, unafikiri sababu ni nini? Ni kwa sababu hawajiamini wanaona kama siku yoyote Chama kinaweza kufa sasa kwa nini wawekeze kwenye Chama badala ya matumbo yao?

Hilo ndio tatizo kubwa, wote wezi tu!
 
Kanuni inawataka warudishe leo na sio vinginevyo! Kurudisha siku yeyote ndio tatizo, unadhani fomu zinarudishwa siku unayojisikia? Kuna ratiba mkuu inatolewa na Tume, au Kigogo ameku mislead
Hawa wanajua lolote basi wanafanya kwa mihemko tu.

Tume ndiyo inayoshiriki kunajisi uchaguzi halafu anataka warudishe form mapema zikichomwa moto itakuwaje ?
 
Hilo somo hawakujifunza 2010 au 2015, sidhani Kama wamejifunza 2020
Mwenyekiti gani mlevi .mtu muongo tu unalewa unaanguka huko unasingizia Eti umevamiwa ili ukatibiwe kwa hela za serikali .hata na hivyo CDM sio chama kikuba tena hiyo sifa walishaa ipoteza mda
 
Back
Top Bottom