Into the badland
Member
- Apr 4, 2020
- 15
- 15
Du pole sanaHii mentality ya kuamini kwamba mtu akiwa na siasa za kistaarabu na zenye kutanguliza maslahi ya Taifa anasingiziwa kuwa ni CCM siyo sawa kabisa
Siasa za harakati na uchonganishi wa Taifa letu dhidi Mataifa makubwa hazitatusaidia
NCCR Mageuzi ikirejea kuwa kiongozi wa Mageuzi nchi yetu itafaidika zaidi kuliko ilivyo sasa