Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya mkoani Geita ambaye pia ni Diwani wa Nzera kwa tiketi ya CCM, Joseph Musukuma, anawahamasisha wananchi kufanya maandamano na kulala barabarani kuanzia tarehe 29 mwezi huu kupinga uwepo wa mgodi wa dhahabu Geita (GGM). Akihutubia mkutano wa hadhara amesema,
Ndugu zangu wana Geita baada ya tarehe 29 mwezi huu (Aprili) tutafanya maandamano kuupinga mgodi wa Geita, nataka niwahakikishie kwamba tukiandamana na kulala barabarani na kuzuia magari yao yanayobeba wafanyakazi wao, lazima watakuja kutusikiliza, alisema Musukuma.
Source: Habari leo
Mbona kiongozi wa serikali anataka kuleta fujo na kufanya serikali isitawalike.
Ndugu zangu wana Geita baada ya tarehe 29 mwezi huu (Aprili) tutafanya maandamano kuupinga mgodi wa Geita, nataka niwahakikishie kwamba tukiandamana na kulala barabarani na kuzuia magari yao yanayobeba wafanyakazi wao, lazima watakuja kutusikiliza, alisema Musukuma.
Source: Habari leo
Mbona kiongozi wa serikali anataka kuleta fujo na kufanya serikali isitawalike.