Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe akisalimiana na viongozi wa chama hicho kuanzia ngazi vitongoji mpaka Jimbo waliofika katika kata ya Nambambo Jimbo la Nachingwea Mkoa wa Lindi.
Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe akisaini kitabu cha wageni katika kata ya Nambambo Jimbo la Nachingwea Mkoani Lindi na Kushiriki kikao cha ndani chenye lengo la kukagua uhai wa chama na kuwashirikisha viongozi wa chama ngazi ya vitongoji mpaka ngazi ya Jimbo pamoja na kuwashirikisha viongozi wa kiserikali waliotokana na CHADEMA.
Akifungua kikao cha ndani Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini, Mhe. Namangaya amemueleza Mwenyekiti wa chama Taifa ikiwa ni pamoja na kuonyesha jinsi mwamko mkubwa wa watu wa Mkoa wa Lindi wanavyoyataka mabadiliko.
Huku Mbunge wa Ndanda Mhe. Cecil Mwambe akiwahakikishi viongozi wa kichama kuanzia ngazi ya vitongoji mpaka Jimbo waliofika kwenye kikao hicho kushirikiana nao ili kubadilishana uzoefu ambao utapelekea kupata mafanikio kama walivyopata watu wa Ndanda kwa kumchagua na kuwatumikia na kuwaahidi kutumikia watu wa Mkoa wa Lindi kama anavyowatumikia watu wa Mkoa wa Mtwara.
Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe akisaini kitabu cha wageni katika kata ya Nambambo Jimbo la Nachingwea Mkoani Lindi na Kushiriki kikao cha ndani chenye lengo la kukagua uhai wa chama na kuwashirikisha viongozi wa chama ngazi ya vitongoji mpaka ngazi ya Jimbo pamoja na kuwashirikisha viongozi wa kiserikali waliotokana na CHADEMA.
Akifungua kikao cha ndani Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini, Mhe. Namangaya amemueleza Mwenyekiti wa chama Taifa ikiwa ni pamoja na kuonyesha jinsi mwamko mkubwa wa watu wa Mkoa wa Lindi wanavyoyataka mabadiliko.
Huku Mbunge wa Ndanda Mhe. Cecil Mwambe akiwahakikishi viongozi wa kichama kuanzia ngazi ya vitongoji mpaka Jimbo waliofika kwenye kikao hicho kushirikiana nao ili kubadilishana uzoefu ambao utapelekea kupata mafanikio kama walivyopata watu wa Ndanda kwa kumchagua na kuwatumikia na kuwaahidi kutumikia watu wa Mkoa wa Lindi kama anavyowatumikia watu wa Mkoa wa Mtwara.