Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,101
Ule ambao hauzimiHuo moto ni upi sasa?
Ule ambao hauzimiHuo moto ni upi sasa?
sio kuwa hata family ya Nyerere ccm wameitupa kule kama walivyo mtupa SHIGONGO NA MAGAZETI YAKE YA UDAKU.Hata chadomo wanakwapua. Tulikwapua Bilioni 11 tukampa chama fisadi. Tukakamua rambi rambi za kamanda mawazo na leo tumeitelekeza familia yake na bado tunakaribia kukwapua billioni 13.9 za kadi za electronic
Huko Nachingwea na kusini kwa ujumla wanajisumbua bure. Kwa sasa hawataki kabisa kusikia kuhusu CHADEMA. Labda Ndanda kidogo
Sio kuwa hata Saccos ya ufipa ilivyomtupa Lemma na Siasa zake za mihemkosio kuwa hata family ya Nyerere ccm wameitupa kule kama walivyo mtupa SHIGONGO NA MAGAZETI YAKE YA UDAKU.
SWISSME
hahahaha tofautisha lema na NyerereSio kuwa hata Saccos ya ufipa ilivyomtupa Lemma na Siasa zake za mihemko
Wote wanasiasa au tofauti yao ni nini?hahahaha tofautisha lema na Nyerere
Huna Elimu ya juu
swissme
back to school DudeWote wanasiasa au tofauti yao ni nini?
Sio anakagua uhai wa chama, sema "anakagua uwekezaji wa baba mkwe"Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe akisalimiana na viongozi wa chama hicho kuanzia ngazi vitongoji mpaka Jimbo waliofika katika kata ya Nambambo Jimbo la Nachingwea Mkoa wa Lindi.
Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Mhe. Freeman Mbowe akisaini kitabu cha wageni katika kata ya Nambambo Jimbo la Nachingwea Mkoani Lindi na Kushiriki kikao cha ndani chenye lengo la kukagua uhai wa chama na kuwashirikisha viongozi wa chama ngazi ya vitongoji mpaka ngazi ya Jimbo pamoja na kuwashirikisha viongozi wa kiserikali waliotokana na CHADEMA.
Akifungua kikao cha ndani Mwenyekiti wa Kanda ya Kusini, Mhe. Namangaya amemueleza Mwenyekiti wa chama Taifa ikiwa ni pamoja na kuonyesha jinsi mwamko mkubwa wa watu wa Mkoa wa Lindi wanavyoyataka mabadiliko.
Huku Mbunge wa Ndanda Mhe. Cecil Mwambe akiwahakikishi viongozi wa kichama kuanzia ngazi ya vitongoji mpaka Jimbo waliofika kwenye kikao hicho kushirikiana nao ili kubadilishana uzoefu ambao utapelekea kupata mafanikio kama walivyopata watu wa Ndanda kwa kumchagua na kuwatumikia na kuwaahidi kutumikia watu wa Mkoa wa Lindi kama anavyowatumikia watu wa Mkoa wa Mtwara.
View attachment 439436 View attachment 439437 View attachment 439438 View attachment 439439
sio kuwa hata family ya Nyerere ccm wameitupa kule kama walivyo mtupa SHIGONGO NA MAGAZETI YAKE YA UDAKU.
SWISSME
Sio kuwa hata Saccos ya ufipa ilivyomtupa Lemma na Siasa zake za mihemko
hahahaha tofautisha lema na Nyerere
Huna Elimu ya juu
swissme
Wote wanasiasa au tofauti yao ni nini?
Hapo juu umesema familia ya nyerere na hukusema Nyerere mwenyewe. Au kwa tafsiri yako kama baba rais basi mama na watoto nao wanakuwa Marais?
Chadema bwana halafu unasema sina elimu ya juu. Acha nikukubalie tuu hahahahahahaha
Umenifurahisha sana
back to school Dude
swissme
Aisee jibu lako mkuu linamenifurahisha sanaKilichokufa hakikaguliwi uhai , kiwango chako ni cha chini mno !
Muulize JPM atakwambia jinsi Chadema inavyotishaEnzi hizo shamrashamra watu mitaani na picha za Mapokezi nyomi la kufa mtu. Sikuhizi kimya kimya kama wanaogopa kufumaniwa.
Jamii forums wenyewe wamebaki wawili tu. Akiacha kutoa update za Chadema Mwanahabari Huru na Francis12 basi tena chama kitajifia.
Hahahaha Niwaulize Chadema jinsi JPM anavyotisha mpaka inafikia kipindi mwenyekiti anafika lindi watu hawana taarifa. Mpaka JF waleta thread za Chadema wamebaki wawili tuu. Mpaka lema leo anashinda magereza wiki ya tatu na Arusha kimya hata chokochoko hakuna.Muulize JPM atakwambia jinsi Chadema inavyotisha
Hayakuhusu.Huko Nachingwea na kusini kwa ujumla wanajisumbua bure. Kwa sasa hawataki kabisa kusikia kuhusu CHADEMA. Labda Ndanda kidogo
Jiongeze kidogo na wewe...Acha utetezi wa kipuuzi vile vikao vya mbezi beach vilihusu wanachama wote?
Kubalini tu sikuhizi publicity hamna tena na serikali imeacha kuwapa kiki za kufanyia matukio.
Ukiacha wewe na mwanahabari huru kuleta habari za CHAga DEvelopment MAnifesto (CHADEMA) watu lazima wawakimbie
Sijakurupuka na sijaandika pumba. Vile vilikuwa vikao vya ndani na mkafanya publicity iweje hii mkae kimya? Au mvuto hamna tenaJiongeze kidogo na wewe...
Soma uelewa kabla kukurupuka kuandika pumba
Unaelewa maana ya vikao vya nje ?Sijakurupuka na sijaandika pumba. Vile vilikuwa vikao vya ndani na mkafanya publicity iweje hii mkae kimya? Au mvuto hamna tena
Hacha Uwongo Wewe Una Ushahidi wa Unachokisema?Huko Nachingwea na kusini kwa ujumla wanajisumbua bure. Kwa sasa hawataki kabisa kusikia kuhusu CHADEMA. Labda Ndanda kidogo
Hamuoni? Akina nani hao?...Hamuoni ya kuwa kula pesa rambirambi ni rahana?
Naelewa maana ya vikao vya nje. Hata kama ni vikao vya ndani iweje kusiwe na ile amsha amsha kama ya kabla ya uchaguzi?Unaelewa maana ya vikao vya nje ?