Aliyekua MWENYEKITI wa CHADEMA MKOA WA NJOMBE WAKILI EDWIN ENOSY SWALE AMEHAMIA CMM
Edwin Enosy Swale mwaka 2015 aligombea ubunge kuptia tiketi ya Chadema kwenye Jimbo la lupembe, hata hivyo leo tar 06/10/2019 ametangaza rasmi kujiunga na chama cha mapinduzi katika ofisi za CMM mkoa wa Njombe
Edwin Enosy Swale mwaka 2015 aligombea ubunge kuptia tiketi ya Chadema kwenye Jimbo la lupembe, hata hivyo leo tar 06/10/2019 ametangaza rasmi kujiunga na chama cha mapinduzi katika ofisi za CMM mkoa wa Njombe