kitambiheshima
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 452
- 116
Mwenyekiti wa chadema kanda ya kusini Joseph Matiku Matare, leo katika viwanja vya soko kuu Songea amethubutu kile ambacho wengine ndani ya chadema hawawezi kufanya mbele ya Dr. Slaa na Mbowe.
Amesema kuhusu sakata linaloendelea la Zitto Kabwe, Mbowe na Slaa nao wakicheza watakwenda na maji kwani chadema siyo mali yao bali ni mali ya wanachama.
Amesema kuhusu sakata linaloendelea la Zitto Kabwe, Mbowe na Slaa nao wakicheza watakwenda na maji kwani chadema siyo mali yao bali ni mali ya wanachama.