Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Aache kunywa viroba kabla ya kuongea ili aeleweke anakusudia kusema nini. Kwa sababu kama anamsema Magufuli lazima ajue matatizo ya kumsema rais.
Takukuru wakimchunguza kwa kiina watabaini mengi yaliyojificha Huyo Jamaa ni bonge la msanii na Tapeli mkubwa.Aache kunywa viroba kabla ya kuongea ili aeleweke anakusudia kusema nini. Kwa sababu kama anamsema Magufuli lazima ajue matatizo ya kumsema rais.
Aache kunywa viroba kabla ya kuongea ili aeleweke anakusudia kusema nini. Kwa sababu kama anamsema Magufuli lazima ajue matatizo ya kumsema rais.
Anaitwa Gerad a.k.a Namba tatu, Ni Mwizi balaa huwa anatumia jina la ikulu kuwatapeli wazee wa huko huko kwake na Tarime kote hasa Kipindi hiki cha Majipu kakitumia Vizuri kula pesa za wazee wale washamba washamba kwa kisingizio cha kuzuia wasije kuchunguzwa mali zao zikatumbuliwa JIPU anaeneza story kuwa Kipindi hiki ni kama cha Sokoinne wote watakamatwa kama wana mali nyingi, Takukuru mtizameni huyo kwa jicho la Tatu.Mkuu Andrew, Huyu jamaa ni kama Mungu Mtu Rorya, hawa ni wapambe wa Lameck Airo yule munge asiyejua kusoma. Abu kweli, Halmashauri ya Rorya ni yao. Mirada yote ni yao
Namfahamu at personal level. pamoja na upayukaji wake lakini asingeweza kwenda mbali hivyo. Kuna uwezekano mkubwa kwamba kuna watu wanampakazia kwa nia ya kumwondoa ofisini.Mkuu utakuwa unakujua zaidi yangu. Huku ryagoro sikujui, ila tariffa ni kwamba huyu hatakikani na wananchi?
"Mtu
anapewa nafasi ya
kuongoza, anageuka
kuleta udikteta, kutishia
watu kila sehemu.
Wengine wanaamua
kuzuia bunge
kuonyeshwa moja kwa
moja kwa manufaa yao."...kuna wahusika wawili hapa
Katika mabandiko yako yote mbona sijaona ukijadili point alizosema badala yake unamshambulia yeye as a person? Jaribu kujibu na hoja zake basiAnaitwa Gerad a.k.a Namba tatu, Ni Mwizi balaa huwa anatumia jina la ikulu kuwatapeli wazee wa huko huko kwake na Tarime kote hasa Kipindi hiki cha Majipu kakitumia Vizuri kula pesa za wazee wale washamba washamba kwa kisingizio cha kuzuia wasije kuchunguzwa mali zao zikatumbuliwa JIPU anaeneza story kuwa Kipindi hiki ni kama cha Sokoinne wote watakamatwa kama wana mali nyingi, Takukuru mtizameni huyo kwa jicho la Tatu.
Ila ujumbe umefika. Hawa. Watu ni mafiaMkuu ujumbe huu ni mzito kwa wahusika.
Na yeye pia si Raia wa Tanzania bali ni mhamiaji haramu mwenye asili ya Uganda na Kenya.Bashe si aliambiwa si raia na sasa ni mbunge tumeshawazoea. Picha lianze namba tatu, stuka bonge kafungwa kapasta akili inastuka. nakusalimia samweli kiboye (oyaore) mbuya warae tata.
Huyu namba tatu siyo. Raia wa Tanzania?. Ninachojua ni kwamba, ni mfanya biashara za magendo. Anaelewa Kenya Ngozi za wanyama Pori Pamoja na mahindi, sukari etc... Hizi wanaiba kwenye magala ya serikaliNa yeye pia si Raia wa Tanzania bali ni mhamiaji haramu mwenye asili ya Uganda na Kenya.
Mkuu, hatuna uhakika na elimu ya huyu mheshimiwa. Hivi anaelimu gani, maana nasikia amewahi kupanda majukwaani na kusema Lasaba OyeeWengine humu wanakalia majungu kuliko ukweli wa mambo. Kuna mtu anasema mbunge wa Rorya Lameck Airo hajui kuandika. Hivi anamjua Lakairo au anatumia akili ya kwenye vijiwe vya kahawa? Mtu hata kama humpendi, sio lazima umchafulie jina kwa vitu ambavyo huna uhakika navyo.
Sasa kama mtu hana uhakika, kwa nini aseme hajui kuandika? Kwani la saba hawajui kuandika?Mkuu, hatuna uhakika na elimu ya huyu mheshimiwa. Hivi anaelimu gani, maana nasikia amewahi kupanda majukwaani na kusema Lasaba Oyee
Mkuu, sidhani Airo ni ntu mbaya, nuksi ni wapambe wake. Wakina ochele na namba tatu. Hawa watu ni tatizo. Wanapofika hatua ya kuwafuatulia wananchi risasi, hapo kuna tatizoSasa kama mtu hana uhakika, kwa nini aseme hajui kuandika? Kwani la saba hawajui kuandika?