Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,897
CHADEMA ina viongozi wa kawaida sana hasa mwenyekiti IQ yake ndogo sana hayuko sensitive na serious insues ni mtu anayechukulia poa tu
Ameruhusu CHADEMA kujengwa kiuanaharakati kama kutukana kufanya fujo
Ameruhusu kukejeliwa mambo makubwa yanayofanyika nchini kama ujenzi wa Reli nk labda kwa sababu ya elimu yake
Ameruhusu CHADEMA kujengwa kiuanaharakati kama kutukana kufanya fujo
Ameruhusu kukejeliwa mambo makubwa yanayofanyika nchini kama ujenzi wa Reli nk labda kwa sababu ya elimu yake