Mwenyekiti CCM Moshi Mjini atumia msiba kuwashambulia waliobwagwa kura za maoni 2020

Shayo alisema Mzee Shamba hakuwa na sababu yoyote kusema kuhusu msuguano wake na maheremu kwani yalikuwa ni maneno ya kuendelea kuitia simanzi familia yake na ndugu na jamaa walioshiriki tukio la kumstiri ndugu yao.
Hapa umeongeza chumvi mwandishi.
Ibra line hakusema hayo maneno uliyoandika.
Toka anamtuma mpambe wake kwenda kuomba mic kwa ghurabu basi nilijua tuu ibra anaenda kutoa boko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom