FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,188
tengua kauli, hapo hakuna uchaguzi mkuu, na kama kuna uchaguzi inakuaje mnasema Magufuli atakabidhiwa chama ilihali kama ni uchaguzi yeyote tofauti na magufuli anaweza kuchaguliwa
Hata kura za Taifa tulijuwa kuwa Rais ni Magufuli siku aliyotangazwa na CCM kugombea. Lakini itifaki ilizingatiwa.
Halafu kumbuka ewe punguani hukabidhi chama kimya kimya kama mlivyomkabidhi nyinyi Lowassa aliyetemwa CCM.