Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Kawachukulieni hatua wakina Chenge na Lowassa na wengine wengi ndani ya CCM hili suala Dogo la CDM tuachie wenyewe
Mkuu Precise pangolin hili suala si dogo; mwizi ni mwizi. Huyo mwizi kama wezi wengine. Wizi ni hulka hivyo huyo ni mwizi mbaya sana. Anaiba anachoweza kuwa nacho karibu hivyo akipewa mamlaka na akawa na access ya mabilioni ya budget ya serikali atakwapua tu. Hakuna mwizi mdogo. Ofisi mesenja ataiba sukari na majani ya chai ya ofisi kwa kuwa ndivyo vilivyo karibu naye. unaweza kuta anaiba 25% ya sukari yote ya ofisi. Mwenye budget ya bilion 10 akaiba bilion moja ameiba 10% ya kilicho karibu naye. MWIZI NI MWIZI TU.Kama huyo ameiba kweli kama ilivyonenwa basi hakuna jambo dogo
Last edited by a moderator: