Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Duh!
Eti nitaenda kwa raisi maana yake unamuona Waziri si chochote
Eti nitaenda kwa raisi maana yake unamuona Waziri si chochote
Please watanzania, tuache utani, people are dying!!
Hana adabu Yule mzee kabisa, lukuvi angemsaidia ningeshangaa sana ,eti mwenzako kah,Jamaa ana kiburi. Utoto wake wa mwasisi unatuhusu nini sisi? Angesema tu mimi ni mwananchi mwenye tatizo ABC. simple like that. But kujimwambafy kwingi na mikwara mwishoni anaonekana anafanga fujo. Na anaonekana amesoma. You hit the point. Then unapoulizwa maswali mengine ndo unatoa maelezo. Unaposema mwenzako XXX alisema au alifanya hivi. Unakosea pia. Huyu ni Lukuvi na yule ni lowassa. Hapa hata kama humpendi Lukuvi ila si sahihi mtu adhalilishwe hivi kwa kisingizio cha utoto wa mwasisi. Asonge mbele.
Duh!
Eti nitaenda kwa raisi maana yake unamuona Waziri si chochote
Tatizo la Lukuvi anataka kila Ttatizo atatue yeyeNadhani Waziri kakosea, alipaswa awaachie hata wasaidizi wake waongee naye.
hapana zile ni hasira mkuu.Huyu mwananchi amemdharau sana Lukuvi, na kaongea kishari shari sana.
Haya ndiyo matatizo ya dikteta kuhodhi madaraka yote. Wananchi wanaanza kuwaona mawaziri kama takataka tu.
Mitano tena!
Ni kweli kabisa,kama muda wake hautoshi angewapa wasaidizi wake wamuhoji polepole,ila kumfukuza sio suluhishoNadhani Waziri kakosea, alipaswa awaachie hata wasaidizi wake waongee naye.
Nadhani Waziri kakosea, alipaswa awaachie hata wasaidizi wake waongee naye.
ile ni jazba ya kudhulumiwa haki na inaweza kumkuta mtu yeyote.Mimi naona waziri yupo sahihi kwasababu huyo mzee ameanza kuweka title ya mzee wake ili asikilizwe, badala ya kuweka taarifa zinazoonesha anastahili hiyo ardhi.
kwanini aanze mimi ni mtoto wa muasisi wa Tanu?....Waziri ameogopa kuonekana anapendelea watu ambao ni waasisi wa nchi.
Waziri yupo sahihi japo kuna sehemu amekosea anaelekezwa anakuwa kama hataki kusikiliza hiyo inatokana na jamaa kuwa kama amemdharau
uko sahihi kabisa mkuu,ilikuwa ishu ndogo sana.Ukiitizama hii video kwa makini ukiwa neutral kabisa utagundua huyo mwananchi ana changamoto kidogo ktk akili yake,hana utulivu kabisa.
Ndg Lukuvi alipaswa kuwa mtulivu kwa kuliona hilo angeahirisha kumsikiliza kwa kumuambia tu kwa utulivu wewe jambo lako ni zito tuonane pale ofisini.
Akija ofisini unachukua mabarua yake hayo unamuambia kaa hapo kunywa chai usizungumze,unazisoma ukielewa unatoa uamuzi.
Uongozi ni pamoja na uvumilivu wa kumudu personality za Watu.
uko kama mimi aiseeMi mwenyewe hizi swaga za mimi fulani or usipofanya ntamuambia boss wako hua siziwezi aisee...
kuna siku PS wa director pc yake ilizingua akanipigia simu bt at the time nlikua nna issue nyingine, nikamwambia weka request yako kwenye helpdesk wengine waje kukusaidia or nikimaliza ntakuja kukusaidia akanipa swaga za ntaenda kuchukua laptop ya director nitumie hadi utakapokuja just to intimidate me...nikamwambia kachukue ila ukienda kuchukua siji kabisa maana utakua ushapata laptop ya kufanyia kazi nikakata simu nikendelea na issue zangu..kuna watu we don't work well na vitisho...
walikutana pipa na mfunikoSikuwahi jua huyu Waziri ana kiburi na dharau hivi. Khaaah.
Rais amtumbue huyu waziri hafai kabisa.
Afu anajibu kijeuri "nenda kamuone Rais" jamani hata mshipa wa aibu hana.
nimecheka huyo mama anamlazimisha mlinzi amtoe nje huyo m/kiti,
M/kiti nae anajibu "wee mama usiseme hivo je angekua Rais hapa unaweza sema hivyo?"
villa park huwa anafanya nini?na kama ni chizi uliwezaje kukaa naye hapo villa park?ni chizi huyo namjua vizuri sana nishakaa naye sana villa park
Jee, hiyo haki ya kusikilizwa inatokana na yeye kuwa mtoto wa muasisi wa TANU akiwa na Nyerere? Ina maana watoto wa watu wa kawaida tu wasisikilizwe? Hili ndilo suala lililomghasi Lukuvi akadiriki kumpa nafasi mlalamikaji mara tatu ajikite kwenye tatizo lake. Mlalamikaji alishindwa mara zote tatu na ndipo Lukuvi akaamua kuachana naye. Nakubaliana na uamuzi huo. Tusisikilize mtu kwa kuwa tu yeye ni fulani bali tuangalie tatizo lenyewe.Haijalishi bado anahaki ya kusikilizwa sio kupuuzwa
Watu hatufanani na uasili hatufanani pia.
Kila mtu ana haiba na silika yake.
Huyu ndivo alivoumbwa.
Tulianza na msemo wa serikali ya viwanda,ilipoishia hatujui hadi leo. Ikaja serikali ya Magu , ikaja serikali ya mi tena, hatujakaa sawa sawa ikaja serikali ya kujifukiza! Kwa sasa tupo kwenye serikali ya makaripio mipasho na onyo. Full comedy.Huyu mwananchi amemdharau sana Lukuvi, na kaongea kishari shari sana.
Haya ndiyo matatizo ya dikteta kuhodhi madaraka yote. Wananchi wanaanza kuwaona mawaziri kama takataka tu.
Mitano tena!
3 Mar 2021
Mtoto wa Muasisi wa TANU uso kwa uso na Mh. Lukuvi, matatizo ya ardhi jijini Mwanza
Leo March 03, Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo Makazi William Lukuvi amekutana na Watumishi wa Jiji la Mwanza idara ya ardhi na wengine, Waziri Lukuvi akiendelea na kikao nje kukawa na Wananchi wenye migogoro wakiwa na mafaili yao wakimgoja
Source: Millard Ayo