Mwenyekiti atishia kwenda kwa Rais mbele ya Waziri Lukuvi

Mimi naona waziri yupo sahihi kwasababu huyo mzee ameanza kuweka title ya mzee wake ili asikilizwe, badala ya kuweka taarifa zinazoonesha anastahili hiyo ardhi.....

kwanini aanze mimi ni mtoto wa muasisi wa Tanu?....Waziri ameogopa kuonekana anaoendelea watu ambao ni waasisi wa nchi......

waziri yupo sahihi japo kuna sehemu amekosea anaelekezwa anakuwa kama hataki kusikiliza hiyo inatokana na jamaa kuwa kama amemdharau
Mjuaji sana
 
Kuna sehemu nilikaa kijiwe cha mitaani nikisikiliza habari za vijana wanazodokezewa na wahusika wa serikali. Moja ya tatizo ni tamaa ya mwaziri pia. Unamkuta waziri Lukuvi anatatua migogoro ya ardhi kila kona aendako, lakini wakati huo huo yeye mwenyewe anatafuta viwanja na mashamba kila mkoa!

Kwa wadhifa wake, viwanja na mashamba hapati bila kuwatumia maafisa ardhi. Kama ni hivyo, atawezake kuwakemea wanapokuwa wamekosea? Ndo maana matatizo hayaishi!! Waziri ana viwanja Mwanza, Iringa, Arusha, Dar, etc. Lengo ni nini? HAta kama ni haki yake kama raia, ni vibaya kumiliki rasrimali kwa urafi kiasi hicho! Waziri ukishakuwa mrafi, nani akuamini? Ndo maana kila mtu anatamani kumuona rais. Hawa wasaidizi wake ni urafi uliokithili!!
Mkuu umesema kweli kabisa, mf; Arusha kuna tabia hiyo sana badala ya kiongozi kuwasemea wananchi hili wananchi wapate ardhi yeye anaichukua na kugawana viongozi wanzake.
 
Mimi naona waziri yupo sahihi kwasababu huyo mzee ameanza kuweka title ya mzee wake ili asikilizwe, badala ya kuweka taarifa zinazoonesha anastahili hiyo ardhi.....

kwanini aanze mimi ni mtoto wa muasisi wa Tanu?....Waziri ameogopa kuonekana anaoendelea watu ambao ni waasisi wa nchi......

waziri yupo sahihi japo kuna sehemu amekosea anaelekezwa anakuwa kama hataki kusikiliza hiyo inatokana na jamaa kuwa kama amemdharau
Lukuvi unamjua vizuri?
Tuulize wahehe wenzie.
 
Huyu mwananchi amemdharau sana Lukuvi, na kaongea kishari shari sana.

Haya ndiyo matatizo ya dikteta kuhodhi madaraka yote. Wananchi wanaanza kuwaona mawaziri kama takataka tu.

Mitano tena!
Nimependa sana huyo mwamba, safi sana.
 
Mi mwenyewe hizi swaga za mimi fulani or usipofanya ntamuambia boss wako hua siziwezi aisee...
kuna siku PS wa director pc yake ilizingua akanipigia simu bt at the time nlikua nna issue nyingine, nikamwambia weka request yako kwenye helpdesk wengine waje kukusaidia or nikimaliza ntakuja kukusaidia akanipa swaga za ntaenda kuchukua laptop ya director nitumie hadi utakapokuja just to intimidate me...nikamwambia kachukue ila ukienda kuchukua siji kabisa maana utakua ushapata laptop ya kufanyia kazi nikakata simu nikendelea na issue zangu..kuna watu we don't work well na vitisho...
 
Mi mwenyewe hizi swaga za mimi fulani or usipofanya ntamuambia boss wako hua siziwezi aisee...
kuna siku PS wa director pc yake ilizingua akanipigia simu bt at the time nlikua nna issue nyingine, nikamwambia weka request yako kwenye helpdesk wengine waje kukusaidia or nikimaliza ntakuja kukusaidia akanipa swaga za ntaenda kuchukua laptop ya director nitumie hadi utakapokuja just to intimidate me...nikamwambia kachukue ila ukienda kuchukua siji kabisa maana utakua ushapata laptop ya kufanyia kazi nikakata simu nikendelea na issue zangu..kuna watu we don't work well na vitisho...
dah nimechekaa ulimjibu kibabe
 
Huyu mwananchi amemdharau sana Lukuvi, na kaongea kishari shari sana.

Haya ndiyo matatizo ya dikteta kuhodhi madaraka yote. Wananchi wanaanza kuwaona mawaziri kama takataka tu.

Mitano tena!
Safi sana
 
Hili linaonyesha jinsi ganj watanzania hawawezi kutatua kero za wananchi waliowachagua.

Waziri wa ardhi ameteuliwa kusaidia wananchi na sio kuwa mbabe. Kuna tatizo moja kubwa sana ndani ya jamii yetu mhusika mwenye dhaman ya kutatua matatizo ya watu anataka afuatwe kwa adabu, aombwe pengine apewe na rushwa.

Ninafikiri umefika wakati sasa mmojawapo kati ya majaliwa au Mama Samia aweke mfumo wa moja kwa moja wa kupokea shida za wananchi na kuzitatua na sio matamko. Hili Raisi mwinyi wa Znz ameliona na amefungua mfumo wa ki electroniki wa kupokea changamoto toka kwa wananchi moja kwa moja na sio mambo ya kuomba appointment. Tungefurahi hata wakuu wa mikoa watenge siku za kupokea malalamiko na shida za wananchi uso kwa uso hata siku moja kwa wiki.

Huyu mzee hakutendewa haki japo upeo wake na staha yake ni ya kihuni lakini ni mwananchi na anahitaji kutatuliwa changamoto yake sidhani kama angekuwa muhindi lukuvi angemjibu hivyo.
 
Mi mwenyewe hizi swaga za mimi fulani or usipofanya ntamuambia boss wako hua siziwezi aisee...
kuna siku PS wa director pc yake ilizingua akanipigia simu bt at the time nlikua nna issue nyingine, nikamwambia weka request yako kwenye helpdesk wengine waje kukusaidia or nikimaliza ntakuja kukusaidia akanipa swaga za ntaenda kuchukua laptop ya director nitumie hadi utakapokuja just to intimidate me...nikamwambia kachukue ila ukienda kuchukua siji kabisa maana utakua ushapata laptop ya kufanyia kazi nikakata simu nikendelea na issue zangu..kuna watu we don't work well na vitisho...
khaaaaah
 
Sikuwahi jua huyu Waziri ana kiburi na dharau hivi. Khaaah.
Rais amtumbue huyu waziri hafai kabisa.
Afu anajibu kijeuri "nenda kamuone Rais" jamani hata mshipa wa aibu hana.

nimecheka huyo mama anamlazimisha mlinzi amtoe nje huyo m/kiti,
M/kiti nae anajibu "wee mama usiseme hivo je angekua Rais hapa unaweza sema hivyo?"
 
Nimependa Sana mzee huyu anajua anachokifanya alafu mzee shule ipo, Sasa mh ajipange anapokuja kwenye uhakiki na kuchukua maeneo ya watu, ardhi ni mali, ardhi ni uhai, ardhi ni maisha ya leo mpaka vijukuu,
Mjee kashindwa kuzuia na majibu ya waziri ya mwanzo ambayo sio fair, mh rais tumbua mh waziri,
 
Back
Top Bottom