PHILIPLULINDA
Senior Member
- Jun 1, 2013
- 181
- 89
Mwenyekiti wa Chadema kijjiji cha Kwekitui jana alikiponda Chama cha Ccm kwa kusema ni chama mfilisi kwa sera kwani walimtishia kifo, lakini kwa sasa ameamua kuwatumikia Wananchi wa Kijiji hicho kwa tiketi ya CHADEMA, Akiongea mbele ya Mkutano Mkubwa wa Hadhara uliofanyika katika kijiji cha Kwekitui,Alipokuwa akiwashukuru wananchi wake kwa kumpa kura za kishindo kwa tiketi ya CHADEMA.
Akiongea kwa kujiamini na Hali njema kabisa Anataka Mtendaji wa Kijiji hicho Ndugu Athuman Kiberiti apandishwe Mahakamani kwa kuandika Barua feki na Kuisoma kwa ndugu January Makamba kwamba yeye eti kajiuzuru,
Ndugu Kasimu Miraji ambae ni Mwenyekiti wa Kijiji cha KWEKITUI JIMBO LA BUMBULI LUSHOTO TANGA, alikimbia kijijini miezi miwili iliyopita na kuzushiwa kwamba kajiuzuru.
Na Barua yake kusomwa mbele ya January alipokuwa ziarani Bumbuli na kwekitui.
Hapo jana Mwenyekiti huyo wa CHADEMA aliyeshinda uchaguzi mdogo uliofanyika miezi michache iliyopita,
alisema CCM hawana jipya na mwaka 2015 ,Wataona wembe Kuanzia kwa January na wagombea wote wa Ubunge wasijisumbue kuja Bumbuli , Bumbuli ni Jimbo la CHADEMA mwaka 2015.
Akiongea huku akishangiliwa na wafuasi na wananchi waliohuzuria Mkutanoni hapo.Wananchi hao walihoji JANUARY MAKAMBA ni nani? Huku wengine wakibeza kwa kusema JANUARY MAKAMBA ni mbunge aliyeingia madarakani k,upitia pesa chafu za RICHMOND NA EPA.
Kasimu alisema yeye ni chaguo la Wananchi wa Kwekitui baada ya uchaguzi kufanyika zaidi ya Mara mbili CHADEMA ikishinda lakini viongozi wa ccm wakawa wanadai eti Uchaguzi eti urudiwe na kila uliporudiwa Ndugu kasim alikuwa anaibuka kidedea.
Akiongea kwa kujiamini na Hali njema kabisa Anataka Mtendaji wa Kijiji hicho Ndugu Athuman Kiberiti apandishwe Mahakamani kwa kuandika Barua feki na Kuisoma kwa ndugu January Makamba kwamba yeye eti kajiuzuru,
Ndugu Kasimu Miraji ambae ni Mwenyekiti wa Kijiji cha KWEKITUI JIMBO LA BUMBULI LUSHOTO TANGA, alikimbia kijijini miezi miwili iliyopita na kuzushiwa kwamba kajiuzuru.
Na Barua yake kusomwa mbele ya January alipokuwa ziarani Bumbuli na kwekitui.
Hapo jana Mwenyekiti huyo wa CHADEMA aliyeshinda uchaguzi mdogo uliofanyika miezi michache iliyopita,
alisema CCM hawana jipya na mwaka 2015 ,Wataona wembe Kuanzia kwa January na wagombea wote wa Ubunge wasijisumbue kuja Bumbuli , Bumbuli ni Jimbo la CHADEMA mwaka 2015.
Akiongea huku akishangiliwa na wafuasi na wananchi waliohuzuria Mkutanoni hapo.Wananchi hao walihoji JANUARY MAKAMBA ni nani? Huku wengine wakibeza kwa kusema JANUARY MAKAMBA ni mbunge aliyeingia madarakani k,upitia pesa chafu za RICHMOND NA EPA.
Kasimu alisema yeye ni chaguo la Wananchi wa Kwekitui baada ya uchaguzi kufanyika zaidi ya Mara mbili CHADEMA ikishinda lakini viongozi wa ccm wakawa wanadai eti Uchaguzi eti urudiwe na kila uliporudiwa Ndugu kasim alikuwa anaibuka kidedea.