Frank Wanjiru JF-Expert Member Apr 12, 2012 21,838 38,729 Dec 18, 2013 #1 Wakuu nina shida sana na wimbo wa Prof Jay uitwao Machozi Jasho na Damu,mwenye nao please.
frema120 JF-Expert Member Jan 1, 2012 5,099 1,338 Dec 18, 2013 #2 nenda fb au twitter ya prof jay muombe atakutumia, jamaa yuko poa sanaaaaaa Prof jay, nyimbo lilie ni tamu sanaa Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
nenda fb au twitter ya prof jay muombe atakutumia, jamaa yuko poa sanaaaaaa Prof jay, nyimbo lilie ni tamu sanaa
mossad007 JF-Expert Member Dec 21, 2012 1,165 850 Dec 18, 2013 #4 Mi nahitaji pipi ya kijiti ya langa naipenda sana ile nyimbo ya bwana mdgo.