Bint Rajabu
Member
- Nov 7, 2018
- 6
- 1
Naombeni mwenye uzoefu wamaswali ya interview utumishi kada ya Librarian II anisaidie tafadhali
Jumanne ya tarehe 9Pepa mnapiga lini
Hapana sio dodoma ni chuoni kabisa MoCUni Dodoma au wapi..?
Oooh kumbe zile za MukoHapana sio dodoma ni chuoni kabisa MoCU
Usiogope sana Mkuu,, Kwan mmeitwa wengi mno..?Oooh kumbe zile za Muko
Tumeitwa 80 nafasi ni 4Usiogope sana Mkuu,, Kwan mmeitwa wengi mno..?
Uko sahihi tunafanya saili 2Hapo lazima mpige saili 2 Written na Oral.. au nimeguess vibaya mkuu..?
hizo nafasi nyingi sana kwa huu uhaba wa jaira kapambanie tu pengine utakula mema ya nchiUko sahihi tunafanya saili 2
Maswali yanatoka UtumishiShida interview maswal wanatunga taasisi yenyew ata kubud maswal yao inKuwa ngumu au nmekosea wakuu
Hata kama chuo hakina hiyo programme?hizo nafasi kuna wanafunzi wa hapo hapo wanaojitolea ndo wanapewa wao, kwaiyo usiji angaishe bure
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
wanayo, tena wapo wengi huwa wanakaaga zamu zamuHata kama chuo hakina hiyo programme?
Kama kweli unamaanisha hii ndo misaada tunatakaga humu.. kusaidiana ni muhimu jamaniMoCU ndio Chuo Cha Ushirika cha zamani pale MOSHI??kama ndio unaenda huko basi njoo inbox haraka sana,nina kijana Lectural pale nilisoma nae Makerere University,yeye alisoma Bachelor ya BLIS(Bachelor of Library and Information Studies).Hivyo nadhani kama unaenda kwenye Usaili wa nafasi hiyo ndio nafasi yake pale,atakusaidia
Huu ndiyo unaitwa uungwanaMoCU ndio Chuo Cha Ushirika cha zamani pale MOSHI??kama ndio unaenda huko basi njoo inbox haraka sana,nina kijana Lectural pale nilisoma nae Makerere University,yeye alisoma Bachelor ya BLIS(Bachelor of Library and Information Studies).Hivyo nadhani kama unaenda kwenye Usaili wa nafasi hiyo ndio nafasi yake pale,atakusaidia