Mwenye uzoefu wa simu nauliza ipi ni simu star au bingwa kitecnologia kati ya iphone na sumsung

Ios iko stable bwana siyo kama android sijui google.com has failed todo what na yale ma failure failure mengi.
Halafu ios haihitaji u format format simu kama android huwezi tumia simu ya android mwaka mzima pasipo kuiformat kitu ambacho kwa ios kinawezekana.
Ios ni stable sana na haicrash crash kama android



Kaka natumia galaxy j5 tangu 2016 march mpk leo cjawahi format cmu na ina applications za kutosha tu
 
We jamaa ulidukua akili ya Einstein nin...hahahahahaha saf sana mkuu...again swal zuri sana hilo...


Will take that as a compliment, thanks a bunch, but I mean this is far from rocket science, because we can judge from our own experiences of these devices we use incessantly.

Kwamba iphone ukitumia wasivyopenda huwezi kurukiwa na wazee wa TCRA au Kamanda Mambosasa?

Come on now!
 
Will take that as a compliment, thanks a bunch, but I mean this is far from rocket science, because we can judge from our own experiences of these devices we use incessantly.

Kwamba iphone ukitumia wasivyopenda huwezi kurukiwa na wazee wa TCRA au Kamanda Mambosasa?

Come on now!
how?
 
Sorry Nilijichanganya Ilikuwa FBI kwa maana ndio wanahusika kwa kiasi kikubwa na Upelelezi wa Ndani ya Nchi...
Haya majina huwa yanafanya Wakati mwingine mtu anajisahau na kuchanganya wapi pa kutumia kwa Sababu yote Ni Mashirika ya Upelelezi na Mmoja ni Upelelezi wa ndani ambaye Ni FBI- Federal breau of Investigation...
CIA- Central Inteligency Agency hawa ni ujasusi...


I am sorry, but you are wrong again.

FBI walikuwa tayari kuja kuwachondoa waliomwagia risasi Tundu Lissu Dodoma. Sisi wenyewe tukachomoa.

Utasemaje FBI wanachunguza ndani tu?

You are demonstrating very shaky international security savvy here.
 


That’s my question, how?

Uko Jamiiforums hapa una expose massive malfeasance and failures of government, serikali wakitaka watashindwa kujua kasimu kako ni ka nani eti kwa vile unatumia iPhone?

That is false sense of security of inordinate scale.

For all we know, Jamiiforums wakibanwa wanatoa IP information zetu hata kwa iphone.
 
natumiaga Tecno,hizo...high technology nazionaga kwa mbali
 
swala la chaja liache kwanza...hapo tu maana yake hyo kitu sio friendly user.hebu niambie mfano ubora wa hardware na security ya iPhone 6s ya mwaka 2015 sept na s6 edge ya mwaka 2015 march.


MKUU KWANZA UMESHAWAHK MILIKI IPHONE 6 MPYA? TENA OG ISIWE MCHINA.. KWENYE HARDWARE IPHONE KWAKO VZURI KULIKO SAMSUNG

IPHONE HAICHELEWI KUKWARUZIKA NA KUCHUNIKA

IPHONE OG HAMNA HILO JAMBO

KILA SIKU INAKUWA MPYA

KWENYE SECURITY SIHITAJI MAELEZO KWA SABABU SAMSUNG ZINADUKULIWA NA KUFLASHIWA HOVYO NDYO MAANA WEZI HAWAIBI SIMU YA IPHONE KWA KUWA HAKUNA WA KUMUUZIA
 
MKUU KWANZA UMESHAWAHK MILIKI IPHONE 6 MPYA? TENA OG ISIWE MCHINA.. KWENYE HARDWARE IPHONE KWAKO VZURI KULIKO SAMSUNG

IPHONE HAICHELEWI KUKWARUZIKA NA KUCHUNIKA

IPHONE OG HAMNA HILO JAMBO

KILA SIKU INAKUWA MPYA

KWENYE SECURITY SIHITAJI MAELEZO KWA SABABU SAMSUNG ZINADUKULIWA NA KUFLASHIWA HOVYO NDYO MAANA WEZI HAWAIBI SIMU YA IPHONE KWA KUWA HAKUNA WA KUMUUZIA
April mwaka jana nlinunua iPhone 7.
Uchakavu pia unachangia na matumizi
Samsung nliyonayo inatafuta mwaka wa3 sasa,sijawah kuipeleka kwa fundi,simu zangu huwa situmii cover ya aina yoyote...ila uchakav wa hii samsung uko kawaida tu. kiukwel nkiilinganisha na iPhone 5 ambayo nliitumia miaka miwil...hii samsung iko bomba kuliko ile.
Kitu kingine labda naomba unieleweshe kuhusu Utofauti wa privacy na security...na je watumiaje wengi wa sim tunahitaj nin(Privacy/Security)?
Maana watu tumekua tukishabikia sana kuhusu hzi sim..utasikia mtu anakwambia "iPhone naipenda kwakua iko more secured" lakin yeye ni picha,social apps hiz baaaas kashamaliza kazi....hahahahah hebu tuache kupretend kama vile tunaa SIRI NZIIIITO kwenye sim zetu au ni ma SUPERVILIAN...hahahaha au wale HEROES wanaoficha identity zao.
 
Walikuwa Tayari kuja kama Wangealikwa na Serikali kama wangeruhusiwa kisheria huwa wanakuja...

FBI hawafanyi kazi ya Upelelezi nje ya USA bila kuruhusiwa na Mamlaka ya Nchi au eneo husika..

Wrong again.

Umefanya li crime ambalo FBI limewauma, umeshusha li jengo la ubalozi Oysterbay FBI watashindwa kuja bongo kuchunguza kisa eti hujatoa ruhusa? Wakati nusu ya maisha yetu wanaya sponsor wao?

Huwajui wale watemi wewe.
Kumbe mpaka Jamii forums wabannwe??

Sasa USA kwa katiba Yao na Sheria za Kimtandao hakuna Kubana Mtu hata kama wewe ni nani....

Kwa hapa kwetu vitisho na Kuvunja sheria Wanaweza wakakutisha ukaachia..


Thats right, wanaweza kukutisha ukaachia information za wateja.

My gut feeling is that Jamiiforums wanatoa IP information zetu. Why? Because the crux of the legal defense that they presented in court ni kwamba walidai kwamba hawakuwa served proper notices and subpoena, na kwamba sheria haiwabani watoe infomation za wachangiaji. Hawajawahi kusema sisi Jamiiforums tunapinga in principle kutoa information za wachangiaji na tunapinga hii sheria kwa vile it flies in the face of the constitution which confers a sanctimonious right to free speech.

Kwa hiyo hili la kusema iphone has full-proof security is preatty much a fairy tale confidence. Hata iphone inaweza kutingishwa.

And let me just wrap it up by saying, the only reason nalazimika kutumia iphone ni kwa vile user-friendly android phone yangu ya miaka mingi inagoma kuingia online kama nikifunga VPN. Kwa hiyo the long and short of it all ni kwamba hata iphone inahitaji msaada wa VPN ili isiweze kudukuliwa.
 
Wrong again.

Umefanya li crime ambalo FBI limewauma, umeshusha li jengo la ubalozi Oysterbay FBI watashindwa kuja bongo kuchunguza kisa eti hujatoa ruhusa? Wakati nusu ya maisha yetu wanaya sponsor wao?

Huwajui wale watemi wewe.



Thats right, wanaweza kukutisha ukaachia information za wateja.

My gut feeling is that Jamiiforums wanatoa IP information zetu. Why? Because the crux of the legal defense that they presented in court ni kwamba walidai kwamba hawakuwa served proper notices and subpoena, na kwamba sheria haiwabani watoe infomation za wachangiaji. Hawajawahi kusema sisi Jamiiforums tunapinga in principle kutoa information za wachangiaji na tunapinga hii sheria kwa vile it flies in the face of the constitution which confers a sanctimonious right to free speech.

Kwa hiyo hili la kusema iphone has full-proof security is preatty much a fairy tale confidence. Hata iphone inaweza kutingishwa.

And let me just wrap it up by saying, the only reason nalazimika kutumia iphone ni kwa vile user-friendly android phone yangu ya miaka mingi inagoma kuingia online kama nikifunga VPN. Kwa hiyo the long and short of it all ni kwamba hata iphone inahitaji msaada wa VPN ili isiweze kudukuliwa.
unajua huwa najaribu kufikiria.....hiv kwel taifa kubwa lenye vyombo vya ulinzi na usalama kama marekani...washindwe kudukua iPhone...hahahahahahahahahah ni sawasawa ushindwe kufungua chumba cha houseboy wako et tu kisa funguo kaenda nayo dukan na nyumba ulijenga wew.
 
Kwa nyie hamna shida kuchangia

Ila kiukweli kwa watu wa Tecno nadhani hii mada wangebakia wasomaji comment inatosha

With all due their respect Tecno user
whats wrong with tecno? unajua kuna siku nlishangaa sana,kuna jamaa alikua ana Tecno phantom 8,akatokea mtu ana iPhone 5,kuna mtu pemben akaibeza ile phantom akisema "iPhone sim bwana,tecno ule uchafu tu". Ndo haya mambo ya kukariri kwamba kila iPhone ni expensive
 
Back
Top Bottom