Mwenye uzoefu wa kufanya kazi na wachina.

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,456
12,545
wakuu vipi?
nilifanya interview na wachina flani na wamenipigia kunitaarifu kuwa nimepata ile kazi na wamesema contract offer watanitumia kwa email.
so nilikua naomba kujua kama hawa nao ni wababaishaji kama wahindi au wao wako vipi?
 
Jiandae kuambiwa kauli yao ""without sweat no gain"" na hata ukikubali kusweat hiyo gain huioni! Anyway km huna pa kujishikiza kajishikize ila ukipata chance yoyote lala nao mberee
 
wakuu vipi?
nilifanya interview na wachina flani na wamenipigia kunitaarifu kuwa nimepata ile kazi na wamesema contract offer watanitumia kwa email.
so nilikua naomba kujua kama hawa nao ni wababaishaji kama wahindi au wao wako vipi?
Tafuta dictionary uangalie definition ya "slave wage"
 
wakuu vipi?
nilifanya interview na wachina flani na wamenipigia kunitaarifu kuwa nimepata ile kazi na wamesema contract offer watanitumia kwa email.
so nilikua naomba kujua kama hawa nao ni wababaishaji kama wahindi au wao wako vipi?

Wanapenda sana kutoa Kafara la Kuua hivyo kama hutojali unaweza ukawaaga pia Nduguzo ili Wachina wakifanya yao wasihangaike na ikibidi wasikulilie kivile!
 
Hawa jamaa nimekaa nao kama miaka miwili hivi kwanza wanadharau kama hujiamini pili wanamatusi ya kichina kwa kiswahili ni matusi mapya na damu yako ikiendana nao i mean ukifanya kazi wakafurahi ahsante utaisikilizia kwenye bomba !!
 
wachina bana miyeyusho sna,,we kapige nao mzgo ila wakijipindua unalala nao mbele,,wana dharau za kiboya sna
 
Nilifanya nao kazi hata kabla sijamaliza chuo, kwa uaminifu wangu na umuhimu wangu kwao walinifanya zaidi ya ndugu. Ila watu wengine hawakuwatreat vzr na walijua naumia kwa nn hawawatendei haki, nilitumia muda mwingi kuwatetea ila na ndugu zetu wengi wezi na wababaishaji huo ndio ukweli. Kwa ss nimeachana nao lkn huwezi amini nikiwa nna shida hata milion hata wawe kwao watanitumia tu. Kwa ujumla wachina walio wengi hawatuthamini, ila wapo walio poa na ukiaminiwa jiaminishe c kwa mchina tu hata penginepo hutojuta maishani.
 
Wachina wajinga sana...nmepiga nao kazi hadi siku za jumapili hawana kupumzika hao mbuzi na mshahara wake utajuta
 
Wachina wajinga sana...nmepiga nao kazi hadi siku za jumapili hawana kupumzika hao mbuzi na mshahara wake utajuta
Kweli kabisaaa kama mm tu saivi nipo job wakati wwnzangu wana enjoy weekend yao
 
Back
Top Bottom