Tafuta dictionary uangalie definition ya "slave wage"wakuu vipi?
nilifanya interview na wachina flani na wamenipigia kunitaarifu kuwa nimepata ile kazi na wamesema contract offer watanitumia kwa email.
so nilikua naomba kujua kama hawa nao ni wababaishaji kama wahindi au wao wako vipi?
wakuu vipi?
nilifanya interview na wachina flani na wamenipigia kunitaarifu kuwa nimepata ile kazi na wamesema contract offer watanitumia kwa email.
so nilikua naomba kujua kama hawa nao ni wababaishaji kama wahindi au wao wako vipi?
Haaaa kunyukwa tena...Jiandae kunyukwa makofi.
Na maneno ni manne Tu..ha-wa-fa-i......hahahahaaDaah nmefanya kaz nao miaka miwili HAWAFAI kwa herufi kubwa ila ushauri wangu nenda kapate mtaji tu usepe
Kweli kabisaaa kama mm tu saivi nipo job wakati wwnzangu wana enjoy weekend yaoWachina wajinga sana...nmepiga nao kazi hadi siku za jumapili hawana kupumzika hao mbuzi na mshahara wake utajuta