thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Nimefanya utafiti karibu nchi nzima ,na utafiti huu una zaidi ya 10,(kumi).
Utafiti huu umefanyika kwenye kaya tajiri,zenye kipato cha kati zenye kipato cha chini na kaya maskini (zenye kubahatisha mlo wa siku).
Swali?
Kwanini kati ya haya madaraja nilotaja ,daraja la tatu kwa maana ya (maskini) familia zao wanaongoza kwa kua na watoto wengi?
Japo kuna pia familia za matajiri na za kati pia baadhi zina watoto wengi pia.
Familia za maskini unakuta anachumba na sebule ,utashangaa ana watoto 7au zaidi na wanafuatana kwa karibukaribu sana, nini tatizo?
Familia za matajiri watoto wachache tena wana interval nzuri na wenye afya.
Nimefanya tafiti hii kama.nilivyosema ,mkoa wa kigoma kwa (ZITTO KABWE) ndio unaoongoza kwa tabia hii. Naomba tubadilishane idea ili kujua kulikoni maskini wanazaa sana kuliko matajiri.
Mimi nilichogundua ni kwamba matajiri wako bize sana na biashara na kazi, maskini hayuko bize akipata mlo kifuatacho ni ng'onyi tu ndio maana wanazaliana kama utitiri.
Mwisho atakae changia uzi huu aweke suluhisho la kulisaidia taifa kuepuka huu mzigo usio wa lazima
Sent using Jamii Forums mobile app
Utafiti huu umefanyika kwenye kaya tajiri,zenye kipato cha kati zenye kipato cha chini na kaya maskini (zenye kubahatisha mlo wa siku).
Swali?
Kwanini kati ya haya madaraja nilotaja ,daraja la tatu kwa maana ya (maskini) familia zao wanaongoza kwa kua na watoto wengi?
Japo kuna pia familia za matajiri na za kati pia baadhi zina watoto wengi pia.
Familia za maskini unakuta anachumba na sebule ,utashangaa ana watoto 7au zaidi na wanafuatana kwa karibukaribu sana, nini tatizo?
Familia za matajiri watoto wachache tena wana interval nzuri na wenye afya.
Nimefanya tafiti hii kama.nilivyosema ,mkoa wa kigoma kwa (ZITTO KABWE) ndio unaoongoza kwa tabia hii. Naomba tubadilishane idea ili kujua kulikoni maskini wanazaa sana kuliko matajiri.
Mimi nilichogundua ni kwamba matajiri wako bize sana na biashara na kazi, maskini hayuko bize akipata mlo kifuatacho ni ng'onyi tu ndio maana wanazaliana kama utitiri.
Mwisho atakae changia uzi huu aweke suluhisho la kulisaidia taifa kuepuka huu mzigo usio wa lazima
Sent using Jamii Forums mobile app