Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,492
- 2,357
Habari,
Mwenye uzoefu na hii simu naomba kujua pros and cons zake.
Uzuri wake, changamoto yake, ukaaji wa chaji, camera nk
Nina 350,000 nataka nivute hii kitu.
Nakaribisha ushauri, hoja, povu,pongezi,lalamiko nk
Idumu JF
Mr Confidential
Mwenye uzoefu na hii simu naomba kujua pros and cons zake.
Uzuri wake, changamoto yake, ukaaji wa chaji, camera nk
Nina 350,000 nataka nivute hii kitu.
Nakaribisha ushauri, hoja, povu,pongezi,lalamiko nk
Idumu JF
Mr Confidential