Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza unatakiwa uwe na kuku wako ili upate faida maradufu. My opinion!!Ningependa kufahamu jinsi ya kuanza hii biashara kwa mtu ambaye ameshawahi kufanya au bado anafanya anipe maelekezo jinsi ya kuanza natakiwa niwe na mtaji wa kiasi gan??
Ni kweli akiwa na kuku wako itapendeza zaidi.Kwanza unatakiwa uwe na kuku wako ili upate faida maradufu. My opinion!!
Ni kweli. Tenda kubwa mara nyingi hawalipi same day. Wiki au mwezi. Ila kama una uhakika wa supply, mtaji upo na pia mkataba wa maana inalipa sana kusubiri mwisho wa mwezi.Ni kweli akiwa na kuku wako itapendeza zaidi.
2. Mara nyingi wanataka uwe consistent supply. Sio kesho unao na keshokutwa hauna.
3. Uwe tayari kumpooza kwa kitu kidogo mtu anaye hakiki ubora wa mzigo wako.
CHANGAMOTO.
Mara nyingi malipo subiri mwisho wa mwezi.
Ni kweli kabisa mkuu.Ni kweli. Tenda kubwa mara nyingi hawalipi same day. Wiki au mwezi. Ila kama una uhakika wa supply, mtaji upo na pia mkataba wa maana inalipa sana kusubiri mwisho wa mwezi