Wanao husika na kodi ni TRA,kodi kubwa kama DHL
Nashukuru mkuu kwa mrejesho, kwa mfano ninaagiza simu ya dollar 50 kutoka USA na shipping cost ya kampuni ya Aramex ni dollar 25 kwa uzoefu wako hapo TRA wanachukua asillimia ngapi?Wanao husika na kodi ni TRA,
Wala sio courier company kama DHL/ARAMEX/FEDEX na kampuni zinginezo.
Tozo la kodi hutokana na invoice value ambayo TRA wameitumia ku_kokotoa hesabu yako ya kodi.
courier company [ Aramex/DHL/Fedex] wao ni kiungo cha kukupa taarifa na documents zako za TRA ili ulipe Tozo la kodi/VAT.
Aramex ghalama zao niAramex, nahitaji kujua gharama zao
Soma huu uzi utakusaidia kupata makadirio: Kukatwa kodi kwa mizigoTRA wanachukua asillimia ngapi?