Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Helow wanaJF,
Naomba kufaham hivi mtu anapotuma mzigo kwa kutumia njia ya posta ya EMS huchukua muda gani kumfikia mlengwa/mhusika.
Mfano unautuma kutoka mkoa wa Mara (Musoma) to Dar es Salaam.
Naomba kufaham hivi mtu anapotuma mzigo kwa kutumia njia ya posta ya EMS huchukua muda gani kumfikia mlengwa/mhusika.
Mfano unautuma kutoka mkoa wa Mara (Musoma) to Dar es Salaam.