Wachangiaji wapo kule wanakula kimasihara....Story nzuri Ila Uzi utakosa wachangiaji
Mkuu iyo ya ndani ya mkoa mfano gari za tegeta kariakoo zile inakodiwa kwa kiasi gani? Kwa siku na malipo yanalipwa kwa mwezi au weak na dereva analipwa na tajir mwenye gar au wew uliekodi vitu km ivyo nahitaji kujua.Maelezo hayatoshi mkuu labda ungesema umeona fursa gani kiasi fulani ningweza kuchangia kwa usahihi
Kuna aina nyingi za Kukodi gari lakini pia kuna masharti kutokana na anayekukodishia gari.mwingine hataki ivyuke nje ya mkoa alipokuwepo yeye au ipige kazi usiku mnene.jaribu kufunguka fursa gani umewaza
Sasa km ampati mbona amuachi? Ukifanya utafiti kwa mbongo andika maumivu azinafaida na zimejaa kilakona kweli mkuu zakuambiwa ?ila mjue msione kama Daladala zipo kazini mkajua tunapata sana... raha ipo tu pale bus linapomaliza siku and then ikaenda wiki hata mbili maisha utayaona hakuna mengine... maana utapata wapenzi wengi Ndugu, Marafiki,Matraffic,Latra, TRA, watoza ushuru vituoni, Waziba pancha, Wauza oil,Mafundi, Wauza Spare bila kusahau ajali za hapa na pale... kuna abiria wana maruhani akisema jambo baya lazima ushinde garage hata wiki au gari iozee huko huko uje kuuza skrepa.. ni balaa balaa tupu... Kam huna Maji ya Baraka basi Dua za Mashehe au Waganga waitembelee... hivi hivi utamaliza miaka chombo kinachakaa huoni kitu na chombo kikioza Trafic wanang'oa plate namba wanakuambia katengeneze body
ila mjue msione kama Daladala zipo kazini mkajua tunapata sana... raha ipo tu pale bus linapomaliza siku and then ikaenda wiki hata mbili maisha utayaona hakuna mengine... maana utapata wapenzi wengi Ndugu, Marafiki,Matraffic,Latra, TRA, watoza ushuru vituoni, Waziba pancha, Wauza oil,Mafundi, Wauza Spare bila kusahau ajali za hapa na pale... kuna abiria wana maruhani akisema jambo baya lazima ushinde garage hata wiki au gari iozee huko huko uje kuuza skrepa.. ni balaa balaa tupu... Kam huna Maji ya Baraka basi Dua za Mashehe au Waganga waitembelee... hivi hivi utamaliza miaka chombo kinachakaa huoni kitu na chombo kikioza Trafic wanang'oa plate namba wanakuambia katengeneze body
Mkuu iyo ya ndani ya mkoa mfano gari za tegeta kariakoo zile inakodiwa kwa kiasi gani? Kwa siku na malipo yanalipwa kwa mwezi au weak na dereva analipwa na tajir mwenye gar au wew uliekodi vitu km ivyo nahitaji kujua.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app