Swaraj Mazda nazikumbukaga gari za PepsiKuna jamaa angu tuliliagiza straight from japani, analo mwaka wa 3 sasa, hamna shida yyte, analipenda balaa......ila kubwaaa kwenye miji mikubwa inabidi ukodi parking
Sent using Jamii Forums mobile app
Tribute Lina ukubwa gani? Hazitofautian sana X-trailKuna jamaa angu tuliliagiza straight from japani, analo mwaka wa 3 sasa, hamna shida yyte, analipenda balaa......ila kubwaaa kwenye miji mikubwa inabidi ukodi parking
Sent using Jamii Forums mobile app
ShukraniTribute limekaa vizuri
Hongera .kumbuka kutoa salam kwa trafficsTribute imeshaingia barabarani na kesho naamsha nayo 2 Moshi
Wazee wa chura utawajua tu,🙄🙄Gari ya ukweli sema imebinuka kwa nyuma
Tribute imeshaingia barabarani na kesho naamsha nayo 2 Moshi
Hahah nilishazishtukia kitambo sana.ID mbilo zinachongia uzi zinazomilikiwa na mtu mmoja
Hahah nilishazishtukia kitambo sana.
Wana ID zaidi ya 8 hivi tofauti tofauti lkn ni za mtu 1 mzee baba.
Hahah wanafanyaga utoto sana basi tu mkuu.halafu sasa wanajisahau