OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,189
- 103,710
Hii kampuni nasikia hailipi kodiUkitaka kujua kuna watu bado wanakula hii nchi basi fatilia kampuni ya nyanza road ya mwanza. Hawa walikua karibu na mzee toka enzi za uwaziri na sasa ndio wanafaidi zaidi.