Oloisusuki
Member
- Mar 27, 2021
- 23
- 19
Kila mtu anadai mechi ya Simba vs YANGA ya tarehe 8/5/2021 iliahirishwa.wajitokeze hadharani watujibu yafuatayo
1: Nani aliahirisha?
2: Kwanini iliahirishwa?
My take: Mechi ya jana Yanga aligomea kucheza so tusubiri majibu ya TFF na Wizara
1: Nani aliahirisha?
2: Kwanini iliahirishwa?
My take: Mechi ya jana Yanga aligomea kucheza so tusubiri majibu ya TFF na Wizara