Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Akisoma hii post yako jiandae kushambuliwa kwa matusi
In God we Trust
Manara ni mwalimu wa madrasa pale Ilala!
In God we Trust
Manara ni mwalimu wa madrasa pale Ilala!
chadema yeyote kukurupuka ndio jadi yake
U DC kwa vituko uswahilini!!??
Hivi vyeo naona hata wale binti zangu wasaidizi wa nyumbani huko Tz wanaweza wakafiti sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uombwe msamaha we nani bwanaNimeambiwa kuwa Wasafi FM Leo asubuhi wamenichafua saana na kusema kuwa Mke wangu ni Mbunge kwa sababu tu nilimtaka Spika wa Bunge aache Propaganda. Ndugu Maulid Kitenge aniombe radhi Ndani ya 24 hours as Sina mke Mbunge na sijawahi kuwa naye. Asipofanya hivyo nitajiongeza!..John Mrema
Sina haja ya ushauri wakoUshauri wangu mkubwa Kwako Ndugu kama ukijua kuwa huna uhakika au hujui Jambo basi acha Kukurupuka Kulisemea sawa?
Unagombeaje ubunge bila kua kada?Mkuu tofautisha ukada na kugombea ubunge
In God we Trust
Wapo wengi wanao fanya hivyo ili kufuata maslahi, mfano Cecil Mwambe,Unagombeaje ubunge bila kua kada?
Kitenge hajawahi kuwa mkereketwa wa CCM, tatizo lipo kwa Zembwela anayerukia mada!
Zembwela tatizo lake ni shule tu, sina uhakika hata na angalau form four amefika
In God we Trust
Kitenge ni jilani yangu kabisa hizo habari za ukada hanaga mpango kabisa
In God we Trust
Kama kweli alisemaGA hivyo, basi uelewa wake wa kisheria utakuwa ni mdogo sana.Kitenge alishasemaga yeye habari anazoongea anazisoma kwenye magazeti..kwaio yakuhojiwa ni magazeti sio yeye anaesoma
Hilo nalo linawezekana piaAnazo ila anajitahidi sana kujizuia kuzionyesha wazi.
Hata kitenge tatizo lake ni shule
Innuendo hiyo,kwenye defeamation ikoKuambiwa kuwa una mbe mbunge wakati huna nako ni kuchafuliwa?