kwa dunia ya leo ni lazima awe na usb flash maana Cd sio reliableSio lazima kuwa na Usb ili kufanikisha zoezi kuandika procedures ndio siwezi ila youtube ndio kitabu bora
mbona nilinstall bila ya vyote ulivyotajakwa dunia ya leo ni lazima awe na usb flash maana Cd sio reliable
clean installation au una upgrade?mbona nilinstall bila ya vyote ulivyotaja
Hiyo pia sio nzuri, mashine itakuwa bado nzito tu, option nzuri tumia usb tena ikiwezekana kama partition unayoweka windows ina vitu vichache hamisha kisha uformat, ukiweka kitu kinateleza mashine itakuwa fasta zaidmbona nilinstall bila ya vyote ulivyotaja